Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
umeenda mbali sana Nokia..Yupo njoo umuue..kichwa chake kinavimba kama cobra
Yule hauliwi na binadamu bhanaa..
Anakufa akijing'ata mwenyewe..
Umesahau game la snake xenzia kwenye nokia 1110?