Dah... unataka kujiua kijinga hivyo kwa kunywa sumu...utakufa kwa hasara sana...utaharibu figo, maini, moyo na viungo vingine muhimu...kuna watu wanavihitaji hivyo viungo viwaokoe na kifo... DON'T die for nothing....toa viungo vyako wasaidie wengine
Nimekupenda bureee, hongera sana!!Pole sana ila mbona miaka 23 bado yanki dogo una give up mapema sana kufanikiwa siyo lazima uwe na marafiki au mpenzi wakati mwingine hata wewe mwenyewe unaweza kutoka
Nikiwa na miaka 3 nilikimbiwa na mama
Nikiwa na miaka 8 nikafiwa na mzazi
Miaka 9 nikazamia dasilamu nikahaswa hata kujuta kuzaliwa
Nilianza la kwanza miaka 12 nikiwa dar nilikuwa na moyo wa kupenda shule
Form two nikasimamisha masomo nikiwa na miaka 21 nikakimbiwa na mpenzi kisa sikuwa na hela
Nikifanya biznec badae nikarudi shule form four nikapata div two ya 20
Nikaenda advance level HGE nikapata two Nikaenda chuo kwa mazobe mazobe nikahitimu
Nikakosa kazi nikafikilia umri unakwenda nikarudi kijijini nikafuga ng'ombe na mbuzi wakawa wengi nikauza jumla mil 16
Nikaja dar nikaanza biashara ya usafirishaji hayo tu
Don't give up if ur a man ukiziwi siyo sababu ya kukata tamaa
No he is very right! Akijua kuna watu wanavihitaji viungo alivyonavyo na hawajafikiria hata siku moja kujiondoa m sure atafanya kitu. Baraka tatizo lako ni dogo mnoo kila mtu akifunguka matatizo na magumu ya maisha anayopitia, nina uhakika utajiona mwenye bahati sana duniani na utapiga goti kushukuru. Kwanza shukuru unapumua na pili shukuru una hata uwezo wa kuomba ushauri. Jitahidi kusoma comments zote nina uhakika hiyo sumu utamtega panya angalau asiharibu cheti chako. Be strong!You are so stupid, mtu yuko devastated halafu we unaleta maskhara ase?
Mkuu si kipindi hichi cha viongozi wenye misimamo mikali ukandamizaji mkuu kwa kipindi kile unaweza hila si miaka hii ya sasaPole sana ila mbona miaka 23 bado yanki dogo una give up mapema sana kufanikiwa siyo lazima uwe na marafiki au mpenzi wakati mwingine hata wewe mwenyewe unaweza kutoka
Nikiwa na miaka 3 nilikimbiwa na mama
Nikiwa na miaka 8 nikafiwa na mzazi
Miaka 9 nikazamia dasilamu nikahaswa hata kujuta kuzaliwa
Nilianza la kwanza miaka 12 nikiwa dar nilikuwa na moyo wa kupenda shule
Form two nikasimamisha masomo nikiwa na miaka 21 nikakimbiwa na mpenzi kisa sikuwa na hela
Nikifanya biznec badae nikarudi shule form four nikapata div two ya 20
Nikaenda advance level HGE nikapata two Nikaenda chuo kwa mazobe mazobe nikahitimu
Nikakosa kazi nikafikilia umri unakwenda nikarudi kijijini nikafuga ng'ombe na mbuzi wakawa wengi nikauza jumla mil 16
Nikaja dar nikaanza biashara ya usafirishaji hayo tu
Don't give up if ur a man ukiziwi siyo sababu ya kukata tamaa
Mkuu hata nikikupa mawasiliano yangu ni sms tu kupiga au kupigiwa sijawai kuongea na simu tangu nizaliwe ni pmPole sana kiongozi ila usikate tamaa mateso yakizid ujue neema inakarbia Ndugu na marafiki ndo sisi humu npe contact zako nkutafute tunaweza kubadilishana mawazo.
Mkuu kwa shule za deaf zipo za ndalichako ningumu sana kuingia nimeshaenda moshi,tanga techno school za private ni ghali akuna mtu mwenye uwezo wa kunipelekaBado una umri mdogo sana achana na mawazo ya kishetani mdogoangu! furahia maisha na mshkuru mungu kwa kukupa viungo vyako vyote hilo tatizo lako ni la wastani sana kulinganisha na matatzo ya wengine! jichanganye na watu utumie taaluma yako achana na habari zs kutaka ajira na kama unataka kuendelea na masomo shule za wenye tatizo kama lako zipo ila vuta subira hali itulie kwanza, huu ni upepo tu unapita hali itajakua shwari usjali.
Dah mkuu huu ujumbe wako umenifanya nitokwe na machozi dah nakumbuka kunakipindi nilikuwa nataka kujiunga na chuo flani kozi ya ict ikabidi niitwe kwenye interview face to face nakaanza kuulizwa maswali dah na kwenye form ya maombi niliandika ni deafYou are Baraka? Right? Ina maanisha you are blessed!!!
Mm nataka kuona neema zako,tafadhaliBaraka Current,hebu kaa chini uzihesabu neema ambazo Mungu amekupa bure bila hata kumuomba ilhali wengine amewanyima? Mshukuru mungu na uwe na subira katika hayo unayoyapitia.
Wewe nokia wewe..? Hivi yule nyoka keshakufa au bado yupo?Mm nataka kuona neema zako,tafadhali
Yupo njoo umuue..kichwa chake kinavimba kama cobraWewe nokia wewe..? Hivi yule nyoka keshakufa au bado yupo?
Mkuu angalia wasikutafute, hakika Mungu halali usingizi asione hata sasa.Hakika hizi LAANA hazitaenda bure.
Mungu na Akusaidie mdogo wangu.