Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Kuna demu mmoja nilishamuomba namba na sijawahi kumtongoza hata siku moja.

Baada ya kuwasiliana mwanzoni texting and calling baadae akanipotezea (mademu hadi umtxt au umcall yeye).

Nikadelete namba yake, nashangaa siku moja unknown calling kwa simu yangu.

Nikarespond, sikuweza kumfahamu akajitambulisha ila nikafix kuwa simu yangu huwa haioneshi majina kwa namba zinazoanza na 0.... bali +255....

Akakubali na kusema no worry. Kanikarbisha kwake (ni single) nimekuta mazaga zaga mengi. Mayai, soda, maji, chips, kitanda dressed well, amedeki chumba.

Ila nilienda na rafiki yangu na alionekana kutofurahi.

Je alikuwa amejiandaa kwa mgegedo au ndio ukarimu wake?

Hadi leo yupo quiet na mimi sijamtongoza.

ushauri jamani.

ha ha ha..mazuzu mnaongozeka jf
 
Weee! Ulifanya cha maana kwenda na rafiki yako. Mwanaume asiyejua fani ndo angemgonga. Demu agongwi ghetto kwake, labda iwe quickie. Huyo aliandaa mazingira, maana yake ungekaa hapo zaidi ya saa. Pia siku ya kwanza anakukaribisha kwake na wewe kichwa kichwa unaenda kukonga, yanaweza kukukuta makubwa maana hauyajui mazingira. Demu hagongwi kwake kama si wewe unayelipa kodi hapo, kama unamlipia kodi wewe ungegonga. Siku nyingine mualike kwako kisha huko ndo gonga kwa uhuru na starehe zenu. Pia haimaanishi kuwa demu akikualika kwake eti ana maanisha ukamgonge, ni mawazo ya watanzania wengi kuwa ndicho demu anachokwambia hapo, ila yawezekana amekuamini sana hivyo taaratibu anataka ukapajue anapoishi. Wee msome anamaanisha nini kukukaribisha kwake.
 
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.
hadi wanaume limbukeni wapo mshikaji...............we huoni ameona room tu kaja kusifia JF halafu inaonyesha jamaa ni domo zege
 
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.


Mkuu Bulldog wanaume wamepungua sana siku hizi wamebaki wavulana mkuu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom