Nimekaribishwa chumbani kwa demu

Nimekaribishwa chumbani kwa demu

FD,
Exactly! this is going Nungwi type............

Mtoa mada, alijaribu kujustify nguvu ya JM ndani ya CCM na baadaye kudadisi kama anayaona na kama anaweza kuingilia kati suala la umeme PERIOD.

hayo ni maoni ya mtoa mada, na haimaanishi JM kuwa mhusika mkuu hapa na kulaumiwa..........

U have an appointment halaf unaenda na mwenzio ili iweje?
No offence but nadhani swali muhim ni how old are you?
 
Well, nilidhani ww Dalali maana ukimuita dalali lazima aje na mwenzake.
My bad, next time usiongozane na mtu unapokaribishwa na mchuchu

Acha kupotosha watu wewe!!!
Mtoto wa kike anapokukaribisha kwake lazima uchukue tahadhari sana maana u don't know who is behind her.

Unaweza kuingia ndani halafu anayelipa kodi anakuja na hujui imaginations zake....

Watu mjini wanaishi kwa dili,unaweza ukaenda kichwa kichwa kumbe watu wanataka kukutengenezea Ugoni mkuu.

Miongoni mwa vitu unavyopaswa kuwa makini navyo ni kupenda kutembelea wadada kwenye makazi yao mkuu.
MIMI NAMPA HONGERA SANA MTOA MAADA KWA KUCHUKUA TAHADHARI.
 
Acha kupotosha watu wewe!!!
Mtoto wa kike anapokukaribisha kwake lazima uchukue tahadhari sana maana u don't know who is behind her.

Unaweza kuingia ndani halafu anayelipa kodi anakuja na hujui imaginations zake....

Watu mjini wanaishi kwa dili,unaweza ukaenda kichwa kichwa kumbe watu wanataka kukutengenezea Ugoni mkuu.

Miongoni mwa vitu unavyopaswa kuwa makini navyo ni kupenda kutembelea wadada kwenye makazi yao mkuu.
MIMI NAMPA HONGERA SANA MTOA MAADA KWA KUCHUKUA TAHADHARI.

Wewe naye ndo walewale!!!mnakosaga bahati hivihivi
 
Nahisi ulibeba ndume nyingine kwa sababu za kiusalama, endelea kumbeba mwenzako maana siku utakayomuacha utarudi kwako na boxer
 
Jamiiforum imevamiwa na watoto siku hizi...sio watoto kiumri...lah....bali watoto kiakili
 
Acha kupotosha watu wewe!!!
Mtoto wa kike anapokukaribisha kwake lazima uchukue tahadhari sana maana u don't know who is behind her.

Unaweza kuingia ndani halafu anayelipa kodi anakuja na hujui imaginations zake....

Watu mjini wanaishi kwa dili,unaweza ukaenda kichwa kichwa kumbe watu wanataka kukutengenezea Ugoni mkuu.

Miongoni mwa vitu unavyopaswa kuwa makini navyo ni kupenda kutembelea wadada kwenye makazi yao mkuu.
MIMI NAMPA HONGERA SANA MTOA MAADA KWA KUCHUKUA TAHADHARI.

Unaweza kuwa na hoja nzuri sana lakini the way unavyoiwasilisha inakufanya uonekane kituko.

Kama unaona mazingira sio rafiki kwann kujisumbua kwenda!!!?? Kwani kwa kuwa watu wawili nini kinazuia msifanyiziwe hasa kwa kuwa mpo kwake, majambazi mawili!?!
 
Acha kupotosha watu wewe!!!
Mtoto wa kike anapokukaribisha kwake lazima uchukue tahadhari sana maana u don't know who is behind her.

Unaweza kuingia ndani halafu anayelipa kodi anakuja na hujui imaginations zake....

Watu mjini wanaishi kwa dili,unaweza ukaenda kichwa kichwa kumbe watu wanataka kukutengenezea Ugoni mkuu.

Miongoni mwa vitu unavyopaswa kuwa makini navyo ni kupenda kutembelea wadada kwenye makazi yao mkuu.
MIMI NAMPA HONGERA SANA MTOA MAADA KWA KUCHUKUA TAHADHARI.

Hii ni point kubwa sana, kwani hii tabia mara nyingi ipo dsm.
 
Back
Top Bottom