tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,139
Watoto wa BRN hawa..hapo unataka msaada gani sasa?
usiwakurupukie madem wanaoishi wenyew tena waliopanga wengne majanga tu na bora ulivyoenda na rafiki yako.
Wanaume wanaisha kwa kasi ya ajabu
the same issue kwangu pia kuna dem kapanga ghetto yeyee ni nurse uwa ananikarbishaga kishenzi kwke nae kapanga ghetto nikimpga calendar uwa ananimind kichizii kuna kipind alniropokea kua ananitaka mi kwakua sitak stress nkamwambiaa muda wangu bado nmebanwaa na issues ali mind akanpotezeaaa ila sasa karudiiii tenaa tukichat mpaka sa6 usiku na siku za jumapil anataka tuongozane church wote nipeni ushauriii japo mimi pia nna mpnz ila yuko mwanza kwa sasa nifanyaje na mimi ????????
the same issue kwangu pia kuna dem kapanga ghetto yeyee ni nurse uwa ananikarbishaga kishenzi kwke nae kapanga ghetto nikimpga calendar uwa ananimind kichizii kuna kipind alniropokea kua ananitaka mi kwakua sitak stress nkamwambiaa muda wangu bado nmebanwaa na issues ali mind akanpotezeaaa ila sasa karudiiii tenaa tukichat mpaka sa6 usiku na siku za jumapil anataka tuongozane church wote nipeni ushauriii japo mimi pia nna mpnz ila yuko mwanza kwa sasa nifanyaje na mimi ????????
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.
Sitorudia kosa,,,, nitaenda na maujanja kedekede.
unamiaka mingapi?
"Nyuki wa canteen kazi kula sukari tu"
Well, nilidhani ww Dalali maana ukimuita dalali lazima aje na mwenzake.
My bad, next time usiongozane na mtu unapokaribishwa na mchuchu
Ndiyo maana akaandaliwa chips mayai