promiseme
JF-Expert Member
- Mar 15, 2010
- 2,706
- 934
Upajue kwake ili kukiwa dharura usiulize njia gani nikate kona ipi mmmmmh vizuri sana....Nilielewa alitaka nipajue anapoishi na kubadirishana mawazo lakini nikakuta yupo peke yake hakuna mtu kama hivo