suregirl
JF-Expert Member
- Jun 8, 2012
- 6,056
- 198
Ndio, kuna dem mmoja tulikuwa nae field huwa namkarbisha home hataki. Nikimwambia niende gheto lake pia hataki. Lakini huyu kathubutu!!!
Wewe upo nyuma
Ndio, kuna dem mmoja tulikuwa nae field huwa namkarbisha home hataki. Nikimwambia niende gheto lake pia hataki. Lakini huyu kathubutu!!!
mods huyu hana vigezo
sheria zinasemaje
Hata hivyo cuz ataona sio kawaida atajarbu siku nyingine na nahisi atasema "njoo peke yako naprivacy". Hapo kipofu ataona mwezi
suala la kama alikiwa amejiandaa au la muulize yeye ndo mwenye majibu ya uhakika
Angalia lakini usije ukabaka
Kwa umri wako na uelewa wako unafikiri huyo mdada alikua na shida gani na wewe au baada yakumchukua rafiki yako alikusaidia kum chambua huyo mwanamke?Nina miaka kumi na saba masomoni mkuu
Mimi sio team vibamia.
sa huyo rafik ako ulienda nae wann ulijua utaenda kutekwa au ni vip
mi ndo maana huwa nashangaa kwanini ni free size wakati nanii zenyewe sio free size
zingekuwa extra large, large, medium, small na extra small ya thread owner
Kwa umri wako na uelewa wako unafikiri huyo mdada alikua na shida gani na wewe au baada yakumchukua rafiki yako alikusaidia kum chambua huyo mwanamke?
Ha ha ha kibamia ha ha ha
Wenye vibamia wanashida,,,,, nakumbuka ile thread ya team vibamia mliwachamba sana
Aya ukifika hapo omba ushaur tutakuambia cha kufanya
Nimesha jua kitu cha kufanya mkuu. Hapo ni kuingia uwanjani bila referee tu
miteremko mibayaaa kwa mtoto wa kiume mi siangaliii position yake naaangalia side effects kwangu tu.
Hadi hili unaomba ushauri?????? Jambo dogo kama hili aaaaaarghhhhh
Na we pia unakibamia kama unabisha weka picha
Naogopa admin ataniban kuweka big dude
Umekaribishwa wewe unabeba na marafiki. Huu ushamba tutaacha lini?? Marafiki mnaongozana kila sehemu. You need to grow up.