Yeye anaempenda si abadiri!, mbona unatokwa na mishipa ya shingo mkuu kulikoni?Achana nae huyo hakupendi
Wewe ni mgonjwa.Mkuu mbona Kuna wasichana wa kikiristo ni wengi na wazuri nenda kahudhurie ibada kanisani maeneo ya ostabey, upanga na Mikocheni, acha kufata fata wanawake wetu wa kiislamu....!
anza kuhudhuria kanisani upate saizi yako
Hata wewe utakufa ila hujui liniNa ww jiandae kufa,umechunguza kilichomuua mwenzio ni nini?
Hujui madhara yake kwa watoto in the long runKila mtu abaki na dini yake endeleeni kuishi. How come mwaka 2018 watu mnakuwa mko stresaed na dini kiaso hiko?
Soma post #73Unajua kilichomuua mumewe?
We jipeleke sadaka tu
Weka link nianze kutafuta ntaipataje mieSoma post #73
Mkuu hivi unaamini ridhaa ya mzazi kwa mwanawe ni sehemu ya mafanikio ya mtoto hapa duniani ?Kuna waliofunga ndoa bomani kwakuwa dini tofauti. Baba wa mke akasema mwanae haweziw kuzini lazima waozwe kwa ubani. Sheikh aliitwa jamaa akabadili dini wakati ana.
Mama wa mume alivyosikia aliwaita akaweka mkwara lazima ndoa ya kanisani. Walibatizwa na kuozwa kanisani.
Habari za jpili wakuu?
Kuna binti nimempata nina kama miezi mi3 niko naye kwenye mahusiano, alishawahi kuolewa ila mumewe alifariki, kiukweli binti ni mzuri wa sura na tabia pia na kiukweli nampenda kupita kiasi.
Tatizo linakuja kwamba yeye ni muislamu nami ni mkristo, nimejitahidi kumshawishi atoke huko ila amegoma maana mzee wake ni Sheikh, mm nahitaji kumuoa huyu binti, sasa nimefikiria kubadili dini kwa sekunde kadhaa ili nimweke tu ndani japo sina dhamira ya dhati kuwepo huko.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na ndoa za namna hii.
