Nimekamatika!!!

Nimekamatika!!!

Acha kumtania Mungu kubadili dini kwa sekunde ndio nn si mkafunge bomani kila mtu abaki na dini yake swala la kubadili dini ni gumu sana
 
Mpotezee

" mwanamke atacha familia yake ata ambatana na mumewe "
 
Ndoa si maigizo,ndoa ni maisha yako, kazi yako, pumzi yako, furaha yako.Tulia nenda polepole usiharakishe Mambo,ikishindikana basi yupo mtakaye ambatana Kiimani.
 
Ushawahi kuchunguza mumewe alikufa kwa matatizo yapi..?
 
Hebu fafanua hapo kwenye kufanya naye kila kitu.

Kwanini mkuu, mimi nahisi ananipenda ila kikwazo mshua wake maana nimeshafanya naye kila kitu ila linapokuja suala la dini ndio mtihani.
 
Dini zina nguvu sana katika maisha ya kila siku.
Usipokuwa makini tofauti zenu za dini zitawaletea migongano ya kila siku hasa upendo wenu utakapokuwa wa kawaida, i mean mkizoeana.
Kipindi cha awali mapenzi huwa mazito lakini kuna wakati mtazoeana. Hivyo chukua tahadhari
 
Mkuu mbona Kuna wasichana wa kikiristo ni wengi na wazuri nenda kahudhurie ibada kanisani maeneo ya ostabey, upanga na Mikocheni, acha kufata fata wanawake wetu wa kiislamu....!


anza kuhudhuria kanisani upate saizi yako
 
Na ww jiandae kufa,umechunguza kilichomuua mwenzio ni nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom