msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,763
- 3,198
Uislam hautambui hiyo takataka!Kafungeni ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Uislam hautambui hiyo takataka!Kafungeni ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Hekaya za Abunuasi hizi.Kuna waliofunga ndoa bomani kwakuwa dini tofauti. Baba wa mke akasema mwanae haweziw kuzini lazima waozwe kwa ubani. Sheikh aliitwa jamaa akabadili dini wakati ana.
Mama wa mume alivyosikia aliwaita akaweka mkwara lazima ndoa ya kanisani. Walibatizwa na kuozwa kanisani.
Unajua msimamo Mkuu?, kuna family hata utie mimba mji mzima hawawezi kurudi nyuma.Tia mimba atabadili hata kabila
Unadhani watu wote ni wapumbavu kama wewe?Tia mimba uone kama huyo babake sheikh ajakufata na kukuuliza "sasa kijana tunafanyaje kuhusu hili"!!
Unawashwa kijanaUnadhani watu wote ni wapumbavu kama wewe?
Nimekwambia toa mawazo yako ya kizuzu humu,jf ni home of great thinkers,jipange halafu njoo tena.Unawashwa kijana
Kila kitu niniKwanini mkuu, mimi nahisi ananipenda ila kikwazo mshua wake maana nimeshafanya naye kila kitu ila linapokuja suala la dini ndio mtihani.
naomba namba zake. usimpotee muda bure.Habari za jpili wakuu?
Kuna binti nimempata nina kama miezi mi3 niko naye kwenye mahusiano, alishawahi kuolewa ila mumewe alifariki, kiukweli binti ni mzuri wa sura na tabia pia na kiukweli nampenda kupita kiasi.
Tatizo linakuja kwamba yeye ni muislamu nami ni mkristo, nimejitahidi kumshawishi atoke huko ila amegoma maana mzee wake ni Sheikh, mm nahitaji kumuoa huyu binti, sasa nimefikiria kubadili dini kwa sekunde kadhaa ili nimweke tu ndani japo sina dhamira ya dhati kuwepo huko.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na ndoa za namna hii.
Hamna kitu kama hicho, sisi wote tumeumbwa na Mungu mmoja, hayo ya kaskazini na kusini kufungamana Mimi huwa naona ni utashi tu wa wanaadam, vinginevyo kila dini ingeishi eneo lake, lakini tunachangamana kwa sababu ya Baba mmoja,Dini ni swala mhimu sana, hakuna urafiki kati ya nuru name giza, kaskazini haiwezi kushikamana na kusini kamwe, mwombe Mungu atakupa wa type yako!
...duhTia mimba atabadili hata kabila
Kama hataki kubadili dini achana naye wanawake ni wengi mkuu.Habari za jpili wakuu?
Kuna binti nimempata nina kama miezi mi3 niko naye kwenye mahusiano, alishawahi kuolewa ila mumewe alifariki, kiukweli binti ni mzuri wa sura na tabia pia na kiukweli nampenda kupita kiasi.
Tatizo linakuja kwamba yeye ni muislamu nami ni mkristo, nimejitahidi kumshawishi atoke huko ila amegoma maana mzee wake ni Sheikh, mm nahitaji kumuoa huyu binti, sasa nimefikiria kubadili dini kwa sekunde kadhaa ili nimweke tu ndani japo sina dhamira ya dhati kuwepo huko.
Naombeni ushauri kwa wenye uzoefu na ndoa za namna hii.