Namkumbuka Husninyo
baba nginaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,
Nimemkumbuka mama yangu bana........ alifariki mwezi kama huu miaka 29 iliyopita..............
dah,pole sana mpendwa.
yeah nilishapoa na kusahau, ila leo nimekumbuka huu wimbo, alikuwa ananifundisha nilipokuwa mdogo, mama yangu alikuwa ni mwalimu wa Elimu ya watu wazima enzi hizo................Good memory eh!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us