Nimekakumbuka haka kawimbo………jamani enzi hizo………

Nimekakumbuka haka kawimbo………jamani enzi hizo………

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,441
Sikiliza mama we nikwambie hadithi
Mikono yangu midogo we siwezi kufanya kazi..
Lakini Mpenzi mama we nikikuwa mkubwa
Nitakusaidia we na wewe upumzike…….na wewe upumzikeeeee……
 
dah,pole sana mpendwa.

yeah nilishapoa na kusahau, ila leo nimekumbuka huu wimbo, alikuwa ananifundisha nilipokuwa mdogo, mama yangu alikuwa ni mwalimu wa Elimu ya watu wazima enzi hizo................Good memory eh!
 
yeah nilishapoa na kusahau, ila leo nimekumbuka huu wimbo, alikuwa ananifundisha nilipokuwa mdogo, mama yangu alikuwa ni mwalimu wa Elimu ya watu wazima enzi hizo................Good memory eh!

gud memory daddy.
 
u tek mi bak mtambuzi, huo ni wimbo nilioupenda sana udogoni, nilikuwa nikiuimba karibu nilie! aaah?
 
Huo wimbo umenikumbusha mbali, when i was still a little boy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom