Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Ofcourse mkuu ila ameniudhi kumtaja mamaangu kwenye post ya kwanza kabisa aliyotuma..angenitusi Mimi binafsi ningemkaushia but sio kumtaja mamaangu kwenye upuuzi...hivi ni haki kuwahusisha mama zetu kwenye mambo yetu wenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu watu tupo na matabasamu kwenye nyuso zetu si kwa kuwa tumeamua kuyasahau mambo yetu ya nyuma na kusonga mbele kuangalia yajayo....baada ya kugundua hatuna uwezo wa kubadilisha yaliyokwisha tokea...bali tunatakiwa kujifunza kutokana na yaliyotokea.....

Msimkaribishe shetani na kumpa makazi mioyoni mwenu....sameheaneni...na kuzisafisha nyoyo zenu......

Maisha ni duara inawezekana huyu mnayetukanana kesho akaja kuwa msaada mkubwa kwako....au wewe ukawa msaada mkubwa kwake.....

LET LOVE TAKE THE LEAD......

[emoji173]️. [emoji173]️. [emoji173]️
 
Ujue nini ?? Kuna watu hum wanajifanya kama watumishi wamungu ndo wanaletaga habari zaajabu ..hili jukwaa ukija nauchungaji wako lazima utakwazana nawatu ..so watu wanashindwa kuelewa kama mtumishi wamungu pita kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
heshima ni kitu cha bure ,kwanza humu hatujuani . kuna watu wanajifanya wanajua watu saaana humu
 
Ujue nini ?? Kuna watu hum wanajifanya kama watumishi wamungu ndo wanaletaga habari zaajabu ..hili jukwaa ukija nauchungaji wako lazima utakwazana nawatu ..so watu wanashindwa kuelewa kama mtumishi wamungu pita kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujatukaniwa mamaako ndio maana halikuumi...tizama waliomkebehi ni Mimi pekeangu then utajua kuwa aliamua tu kuniandama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama wa mtu ungejiheshimu na kutoleta uzi huu wa kipuuzi...na rudi kurasa za nyuma ukawatukane wengine waliokukebehi maana hujatenda haki...kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
onyesha mtu aliesema mimi ni malaya sijui najiuza buguruni zaidi yako? jiheshimu wewe dogo usinichukulie poa.unarusha mawe wakati upo kwenye nyumba ya vioo? unamuitaje mwanamke malaya wakati una mama na dada ambao sio bikra?
 
Hujatukaniwa mamaako ndio maana halikuumi...tizama waliomkebehi ni Mimi pekeangu then utajua kuwa aliamua tu kuniandama

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ww niwakiume potezea ..ndo maana pale alipotajwa mamako nikashtuka ikanibidi nimwambie .tena soma vizuri nimeshtuka kabisa .sikuwa nikichangia chochote nimeanzia pale alipotajwa mamaetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu watu tupo na matabasamu kwenye nyuso zetu si kwa kuwa tumeamua kuyasahau mambo yetu ya nyuma na kusonga mbele kuangalia yajayo....baada ya kugundua hatuna uwezo wa kubadilisha yaliyokwisha tokea...bali tunatakiwa kujifunza kutokana na yaliyotokea.....

Msimkaribishe shetani na kumpa makazi mioyoni mwenu....sameheaneni...na kuzisafisha nyoyo zenu......

Maisha ni duara inawezekana huyu mnayetukanana kesho akaja kuwa msaada mkubwa kwako....au wewe ukawa msaada mkubwa kwake.....

LET LOVE TAKE THE LEAD......

[emoji173]️. [emoji173]️. [emoji173]️
Big up bro...nimekuelewa na nashukuru kwa nasaha zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahaaa nyie wazee ni stress sana .hakuna asiependa vitu vibichi bna
Na wewe ni mbichi kumbe[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom