Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Hahahaah miss unaniachaga hoi mwenzio.. Threads zako tu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]




Mahondaw wa Smart911
 
Wewe umekata tamaa

Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana utasubiri sana.

Watu wazima kwanza nguvu hawana, stress za magu, mara nyumba imebomolewa, mikopo, ndugu wanamtegemea etc, yaani wenyewe maisha yamewashinda wanatamani hata wajiuze sasa wewe unapomuambia tena akuongeze kwenye list ni majanga tu unaishia kuliwa kwa mkopo.

Sasa hapa mjini wanawake wameamua kuliko kuliwa kwa mkopo wanajichukulia viserengeti vyao wanawalea na maisha yanaenda, ila mungu anawaona aisee ila wafanyeje? Kuna dogo hapa jirani handsome kweli ngoja amalize form four keshokutwa niachane na ukapera mimi.

Siku njema wadau nawatakia na uzee mwema pia
Serengeti boyz tumekuwa adimu maana kila mtu kisha chukuliwa
 
  • Thanks
Reactions: 10k
Potea ma.la.ya mkubwa weeee...hapo umejitukania mamaako kama hujui
Nenda kajiuze pale buguruni umekaa kulialia humu...uka.haba wako wako umekuponza...bloodfool

Sent using Jamii Forums mobile app
mama yako mbona anajiuza? mbona ukahaba wa mama yako ulimpoza hadi akakuzaa hamjui baba yako? hakuna jipya sijaanza mimi.so kausha.
 
Back
Top Bottom