Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Duuuuh kweli ulazima wa kuzaa vidume ni muhimu si kwa uhaba huu
 
Haya mambo mnayoyafanya hayakupaswa wala kutarajiwa kufanywa huku JF HOME Of GREAT THINKERS........

Mnalidhalilisha jukwaa....mnajidhalilisha wenyewe vile vile mnaidhalilisha Jamii Forum.....

Word is enough for the wise
mkuu ushawai kuniona mahali nimemkosea mtu heshima?
 
Mkuu angalia chanzo....wengi humu walisema maneno ya kumkebehi but akamazea na kuamua kuniandama..ajue kama kwangu pagumu tena asinizoee

Sent using Jamii Forums mobile app

Unapaswa ujue kwenye wengi basi pana mengi.....hii ni jamii pana iliyobeba watu wa kila aina.....kuendelea kuwapo hapa kunaenda sambamba na kiwango chako cha uvumilivu.......

Ukubwa sio kurefuka na kuwa mrefu kama antena bali kukomaa ki akili na kuitumi vyema akili yako.....
 
Unapaswa ujue kwenye wengi basi pana mengi.....hii ni jamii pana iliyobeba watu wa kila aina.....kuendelea kuwapo hapa kunaenda sambamba na kiwango chako cha uvumilivu.......

Ukubwa sio kurefuka na kuwa mrefu kama antena bali kukomaa ki akili na kuitumi vyema akili yako.....
Ofcourse mkuu ila ameniudhi kumtaja mamaangu kwenye post ya kwanza kabisa aliyotuma..angenitusi Mimi binafsi ningemkaushia but sio kumtaja mamaangu kwenye upuuzi...hivi ni haki kuwahusisha mama zetu kwenye mambo yetu wenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu ushawai kuniona mahali nimemkosea mtu heshima?

Hapana sikuwahi kukuona kwenye matukio kama haya ndio maana nikashikwa na mshangao......kwa kuwa natambua kuwa wewe ni binti mwenye heshima na unyenyekevu......

Inawezekana ikiwa umeghafirika na andiko la mwenzako.....

Nakuomba tu kwa heshima yako humu jamvini uachane na ubishani huu...usio na faida kwako....na kwa wana jukwaa kwa ujumla.......

Natumaini umeshanielewa....mpwa.....
 
Hapana sikuwahi kukuona kwenye matukio kama haya ndio maana nikashikwa na mshangao......kwa kuwa natambua kuwa wewe ni binti mwenye heshima na unyenyekevu......

Inawezekana ikiwa umeghafirika na andiko la mwenzako.....

Nakuomba tu kwa heshima yako humu jamvini uachane na ubishani huu...usio na faida kwako....na kwa wana jukwaa kwa ujumla.......

Natumaini umeshanielewa....mpwa.....
hivi huwa kuna haja gani ya kumuita mwanamke malaya humu jf au mwanaume kumuita shoga inhali mtu humjui?
 
wewe ndo unajua umalaya wangu ? naropoka kuhusu mama yako? iweje niwe malaya mimi mama yako asiwe? mama yako ndo alienifundisha umalaya maana yeye amekubuhu kabisa mkuu.
Sibishani na mpumbavu kama wewe...utatoa povu lako mpaka utachoka mwenyewe wala sitakujibu from now

Na ujue kuwa wajitukania mamaako na kwa ninavyoheshimu Mama za watu basi hutoniona kumhusisha Mamaako kwenye ugomvi wetu...kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sibishani na mpumbavu kama wewe...utatoa povu lako mpaka utachoka mwenyewe wala sitakujibu from now

Na ujue kuwa wajitukania mamaako na kwa ninavyoheshimu Mama za watu basi hutoniona kumhusisha Mamaako kwenye ugomvi wetu...kila la heri

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi ni mama wa mtu lakini ukumbuke .ndo ukome kutukana mama za watu usiowajua .
 
yaani mkuu nifanyie vyote ila usinitukane.najipenda sana sipendi kuonewa .nina malipizi sana .ukiniheshimu nitakuheshimu,ukinipenda nitakupenda mpaka ukimbie.ukinichukia na kunidisrespect na mimi nalala humohumo mpaka asubuhi.ndivo nilivo
Ujue nini ?? Kuna watu hum wanajifanya kama watumishi wamungu ndo wanaletaga habari zaajabu ..hili jukwaa ukija nauchungaji wako lazima utakwazana nawatu ..so watu wanashindwa kuelewa kama mtumishi wamungu pita kule.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom