Kiranja wa Kijiweni
JF-Expert Member
- Mar 9, 2023
- 547
- 994
Kabisa, na Mimi mwezi uliopita nilipatwa na changamoto ya Wife kujifungua kwa Operation.Pole kwa uliyopitia. Watu wengi tunapenda kujifunza kwa njia ngumu kwa sababu ya kupenda kupuuzia mambo. Kuwa na akiba ni muhimu sana sana sana. Nimejifunza pia kwa sasa sikosi akiba kuna mambo yanatokea kama ajali na hayana kusubiri kwa mfano magonjwa, ajali n.k
DCMC - Dodoma wako vizuri sana, Daaah bila wao sidhani kama wife agekuwa sawa.
Tujifunze kuweka akiba, akiba haiozi. Changamoto za Maisha hazipigi hodi.