Lighton
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 2,060
- 3,436
Wakuu..... imepita kama mwezi 1 na nusu tokea nipitie changamoto ambayo baadae ilinipa funzo kuhusu namna ya kuishi kwa mipango. Nilipuuzia sana kuhusu pesa ya akiba, sikuwa na bajeti ya matukio ya imejens.
Basi siku hiyo ikafika, nikamgonga mlevi mmoja alikuwa anakatisha barabarani, mlevi alikuwa ana hali mbaya mpaka waliweka mahabusu usiku huo, ilikuwa kwa mara ya kwanza. Bahati nzuri kesho yake nilitoka nikafatilia hali ya mgonjwa nikaambiwa ameamka, taratibu za matibabu ziliendelea ndugu walipata pa kupiga pesa, kiufupi niliyumba kiuchumi.
Nikaanza kufatilia gari polisi, yaani wale ndo wehu kabisa, lakini nashukuru nilimaliza salama na polisi na wale ndugu wa mgonjwa.
-Polisi wana tamaa sana, huku mitaani kuna ujinga mwingi sana.
-Chombo kuwa na bima ni muhimu sana.
-Ni muhimu pia kuijua sheria na nimejifunza kwamba next time nimemgonga mtu ni full kutembea walimwengu wa mitaani humu ni miyeyusho sana.
-Wakuu akiba ya imejens ni muhimu sana, hata ukipata pesa mingi sana bora ijaze kwenye akaunti yako itakuja kuwa na umuhimu sana baadae.
Nasisitiza polisi wana tamaa sana.
Basi siku hiyo ikafika, nikamgonga mlevi mmoja alikuwa anakatisha barabarani, mlevi alikuwa ana hali mbaya mpaka waliweka mahabusu usiku huo, ilikuwa kwa mara ya kwanza. Bahati nzuri kesho yake nilitoka nikafatilia hali ya mgonjwa nikaambiwa ameamka, taratibu za matibabu ziliendelea ndugu walipata pa kupiga pesa, kiufupi niliyumba kiuchumi.
Nikaanza kufatilia gari polisi, yaani wale ndo wehu kabisa, lakini nashukuru nilimaliza salama na polisi na wale ndugu wa mgonjwa.
-Polisi wana tamaa sana, huku mitaani kuna ujinga mwingi sana.
-Chombo kuwa na bima ni muhimu sana.
-Ni muhimu pia kuijua sheria na nimejifunza kwamba next time nimemgonga mtu ni full kutembea walimwengu wa mitaani humu ni miyeyusho sana.
-Wakuu akiba ya imejens ni muhimu sana, hata ukipata pesa mingi sana bora ijaze kwenye akaunti yako itakuja kuwa na umuhimu sana baadae.
Nasisitiza polisi wana tamaa sana.