Mimi hpa mumy kazi IPI?Wakuu nadhani wazima,
Me ni binti nilimaliza chuo ila sikupata kazi, sasa kutokana maisha kuwa magumu nimeamua kujiajiri.
Sasa naona nimepanuka naitaji mschana mwenzangu tusaidiane hii kazi. Nataka mschana Kama Mimi maana wavulana/wanaume tunaweza shindwana kufanya kazi.
Location :Arusha
Mshahara :maelewano ila utapewa chumba+meals.
Kama kuna mdada yupo serious aje inbox, tuongee vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi gani hiyo kama sina uzoefu nayo mmmh nahisi kam ya kuuza vinywaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu nadhani mu wazima,
Mimi ni binti nilimaliza chuo ila sikupata kazi, sasa kutokana maisha kuwa magumu nimeamua kujiajiri.
Sasa naona nimepanuka nahitaji msichana mwenzangu tusaidiane hii kazi. Nataka msichana kama Mimi maana Wavulana/Wanaume tunaweza shindwana kufanya kazi.
Location: Arusha
Mshahara: Maelewano ila utapewa chumba+meals.
Kama kuna mdada yupo serious aje inbox, tuongee vizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
aiseenaona nimepanuka