Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,054
- 3,255
Vyuma mkuu, awamu hii hakuna kazi ya kike wala ya kiume. Daladala zimejaa makondakta wakike, migahawani wamejaa wapishi wa kiumecha ajabu wanaume ndio wanaoitaka hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app