RaiaMbishi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 252
- 124
Ndugu zanguni,
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?
nimekumbwa na kituko kibaya mjini arusha. Nilienda na ndugu yangu Bar jana, tukaagiza chakula. Tulikuwa tumeshakunywa konyagi kidogo. mhudumu kuleta chakula, akatuacha kwa kama dakika tano bila kutuletea maji ya kunawa. Nikaumuita na mazungumzo yakawa kama ifuatavyo:
Mimi: Oyaa mhudumu, mbona haujaleta maji, vipi?
Mhudumu: Oh, sikuleta kwa sababu nilidhani nyote wawili mnatumia NYUMA.
Mimi: Eti nini (huku nikiamka, na nikampiga kichwa kibaya sana, mhudumu chini, damu toka puani eneo lote lile). Baadae nikaeleweshwa kwamba alikuwa ana maana forks ambayo wingi wake ni Nyuma, ikiwa moja, ni umma.
Ndugu zanguni, hapa tatizo ni konyagi? au kutoelewana lugha?