Nimeitwa kwenye interview NSSF kwa njia ya sms!!!

Dah in maana wakubwa member humu ndani hatuna ushirikiano tena????? toka jana naomba mtu ambaye ameenda kufanya registration anipm namba yake.. at least nimuulize mawili matatu. Issue ni kwamba niko mbali na nahitaji nisafiri. NA maamuzi hayo yatategemea na ushirikiano wa member.. Please naomba aliyeenda aniPM namba yake sasa hivi nina muda wa saa 1 tuu kafanya maamuzi.
 
Acha dharau wewe mshamba, kama ni ka laki 6 na 8 ww unacho...???? wewe ndio wale wanaokataa kustaafu na kupisha watu wengine...acha watu wakajaribu bahati zao...wewe ni ***** na nna wasiwasi na elimu yako au hapo ulipo unafanya kazi ulitoa t...ko ama vipi..????

masikin akipata...
 
Dah in maana wakubwa member humu ndani hatuna ushirikiano tena????? toka jana naomba mtu ambaye ameenda kufanya registration anipm namba yake.. at least nimuulize mawili matatu. Issue ni kwamba niko mbali na nahitaji nisafiri. NA maamuzi hayo yatategemea na ushirikiano wa member.. Please naomba aliyeenda aniPM namba yake sasa hivi nina muda wa saa 1 tuu kafanya maamuzi.

my dear jana nilimsindikiza rafiki yangu pale kweli wanaregister just fanya maamuzi ya kuja kujaribu bahati yako. Weka number yako nikupigie.Best of luck
 
Acha dharau wewe mshamba, kama ni ka laki 6 na 8 ww unacho...???? wewe ndio wale wanaokataa kustaafu na kupisha watu wengine...acha watu wakajaribu bahati zao...wewe ni ***** na nna wasiwasi na elimu yako au hapo ulipo unafanya kazi ulitoa t...ko ama vipi..????


Duh! hii kali sasa..
 
"We refer to your application for employment with NSSF. We would like to invite you for aptitude test to be conducted at Institute of Finance Management(IFM) campus Shabaan Robert Street in Dar Es Salaamon Saturday 31st, December, 2011 at 12:00pm.
Please registe yourself at NSSF Water Front House between Tuesday 27th and Friday 30th December,2011 from 9:eek:o a.m. to 4:00pm.
Please observe punctuality".

sasa yangu imeonesha muda wa interview ni sa1O jioni yaan 4pm
 
jamani naona nssf wanaleta fujo wamenitumia msg kama tatu leo moja wanasema 12 PM ningine 4PM na nyingine 8.OO AM saa za kufanya hiyo test.
 
jamani naona nssf wanaleta fujo wamenitumia msg kama tatu leo moja wanasema 12 PM nyingine 4PM na nyingine 8.OO AM saa za kufanya hiyo test.
 
jamani naona nssf wanaleta fujo wamenitumia msg kama tatu leo moja wanasema 12 PM nyingine 4PM na nyingine 8.OO AM saa za kufanya hiyo test.
Inawezekana umeomba kazi tatu tofauti ndio maana umetumiwa sms zenye saa tofauti. Nikiangalia hizo saa inaonekana wewe umeomba Assistant Accountant, Accountant na Finance Officer. mwanzo walitaka watu wote wafike saa sita mchana, lakini nadhani walipoona turnup ya watu kwenye registration kuwa ni kubwa wakaamua kila kundi waje muda tofauti. Nadhani ni hivyo mkuu
 
Hofu ondoa,watu wote wameitwa kwa sms,tena mimi nimetumiwa sms zaidi ya 2 baada ya kuwa nimejiregister! Pamoja na kwamba sisi sio wa uzao wa Ismael twende tukajaribu huenda tukabahatika na uisaka wetu!
 
Inawezekana umeomba kazi tatu tofauti ndio maana umetumiwa sms zenye saa tofauti. Nikiangalia hizo saa inaonekana wewe umeomba Assistant Accountant, Accountant na Finance Officer. mwanzo walitaka watu wote wafike saa sita mchana, lakini nadhani walipoona turnup ya watu kwenye registration kuwa ni kubwa wakaamua kila kundi waje muda tofauti. Nadhani ni hivyo mkuu

procurement wao wanafanya muda gani? Nilishafanya hyo registration ila sijatumiwa hyo sms ya muda kubadilika.
 
mimi mwenyewe wadau nimetumiwa sasa hv na nipo morogoro,halafu wamesema kwanza lazima ujisajiri leo mwisho saa kumi jioni leoleo kujisajili then ndo kesho ukafanye hyo testi yao,nachojiuliza why wasingetuma mapema kwani wanadai kujisajii kulianza tokea tar 27 mwezi huu na mm ndo wananipa taarifa sasa hv na cpo dar,huu c ni ubabaishaji huu wadauuuuuuuu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom