tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,145
Na mimi nimetumiwa huo ujumbe . Naomba mtu mwenye zile job description za finance officer na accountant .
mi pia nimepata hyo text usiku wa kuamkia leo.
Na mimi nimetumiwa huo ujumbe . Naomba mtu mwenye zile job description za finance officer na accountant .
To be honest, sijakuelewa kabisa mkuu.
Duuh,yaani ulitaka upigiwe simu? kwani msg ina ubaya gani? Qualification yako ni nn?kama ni masters/phd na uanitwa kwenye usaili wa manager/director kweli hawajakutendea haki vingenevyo mi naona poa tu. Afu tufukirie kujiajiri si kuajiriwa.
nenda na kalamu ni test ya kuandika hiyo
Mkuu umesema ukweli yaani mimi nikifikiriaga hapo nashikwa na machungu yaani mnapigishwa foleni kupiga interview kumbe tayari mtu ameshapatikana wa kumuweka, this is bull sh***t
Watu wengi wamepata hizo sms nahisi mchezo utakuwa kama ule aw PSPF watu 1500 nafasi 8.
Mkubwa kahudhurie ili uendelee kupat uzouefu wa interview
Hujakose sana. Kuna ndugu yangu naye kaitwa. Leo alikwenda kufanya usajili. Kaambiwa nafasi ni saba tu (7)!
nafasi 7 ktk position gan?
Tena hzo sms zimetumwa usiku wa mamane,hawa jamaa hawako serious kabisa
Ni jumla ya nafasi zote kwa watu zaidi ya 1000 walioitwa