Hhahaha yale yale ya UDOM, NHIF, what i know hizo position tayari watu walishaanza training...nyie mnaenda kuzugwa tuu hakuna kitu hapo ni wizi mtupu...utakachofaidi ni kujuana na watu na kuonana na marafiki zako mliopoteana kwa muda...
Acha majungu, una ushahidi na hilo. Uncle nenda kwenye interview. Jiamini na jiandae vizuri, Ifahamu vema kazi uliyoomba na changamoto zake. Itetee taaluma yako, waonyeshe kuwa wewe umeiva. Jiandae kuwauliza maswali kadhaa na wewe. Kwa haya unaweza kufanikiwa by 80%. Achana na majungu
Wengi wetu kwenye interviews tunakosa kazi kwa uzuzu tu wa kuzoea kudesa madarasani, tunafikiri hata kwenye interview tunaweza kudesa.
NHIF na UDOM kila nafasi moja ilikuwa na waombaji 200 - 500 wote wana sifa unafanyaje? Wengine vilaza walikimbia written interview. Kama hujui na ulizoe kudesa, njoo ujiunge nasi na kazi ya uvuvi.