Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Wadau leo nimeitwa kwenye interview na NSSF. Namshukuru Mungu kwa hatua hiyo.
lakini Hofu zangu ni zifuatazo,
Kwanini watumie sms? wapo serious kweli?
Interview inafanyika IFM!! obvious ni watu wengi sana wameitwa, je ni kama ile ya UDOM na NHIF?
sms yenyewe inasomeka hivi,
We refer to your application for employment with NSSF. We would like to invite you for an aptitude test to be conducted at the Institute of Finance Management(IFM) campus Shaaban Robert street in Dar es Salaam on Saturday, 31st December, 2011 at 12:00PM.....
(nimeifupisha kuokoa muda)
Je kuna yeyote humu na yeye ametumiwa sms hiyo?
lakini Hofu zangu ni zifuatazo,
Kwanini watumie sms? wapo serious kweli?
Interview inafanyika IFM!! obvious ni watu wengi sana wameitwa, je ni kama ile ya UDOM na NHIF?
sms yenyewe inasomeka hivi,
We refer to your application for employment with NSSF. We would like to invite you for an aptitude test to be conducted at the Institute of Finance Management(IFM) campus Shaaban Robert street in Dar es Salaam on Saturday, 31st December, 2011 at 12:00PM.....
(nimeifupisha kuokoa muda)
Je kuna yeyote humu na yeye ametumiwa sms hiyo?