Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Kuna watu wanaishi kwa 120,000 na maisha yanasonga. Dar akili siyo hela, mikoani nguvu na si akili.
Karibu sana dar ujifunze maisha

Peleka uongo wako kule...akili ni popote ndugu...nayajua maisha ya dar sn...ndio uta survive ila kwa shida sana
 
Chuo kinahusika vp tena hapo?

Yeye kasema ana Bachelor ya IT anataka kujua salary wewe unauliza chuo au siku hizi wanalipa kulingana na chuo ulichosoma?

jibu zuri sana mkuu umemaliza alitaka nitaje chuo waanze Ligi zao..??
eti mkuu unajua salary take home yao?
 
Laki 1 kwa mwezi ya mafuta ni ya kwenye bajaji au Fu yeng toyo?

fuel n kwa wote.. usikarr et fuel mpk uwe na gar.. kwan daladala hulp naul?? bas hyo ndy naul yako per month...
 
kafanye interview huo mshahara ulotajiwa si kweli...sijui sh ngap lakn si laki 2 ,...nenda upate, fatilia zaidi ujue ili ujibu hilo swali, au study kwa lever yako ya elimu na uzoefu wanalipwaje na bank zingne? ndo ujievaluate
 
i wsh u all the bst..!! nyie IT weng mnanza na 1:8 basic.. mpk makato yt mnaweza kuondoka na 1:4or 3.tofaut na ivo ita depend IT ktk ishu gn..kdg mna salary nzur.. ur welcom

acha kumdanganya mwenzako
 
nmdaganye ili itokee nn?? npo tegeta branch ukitaka for moo explation labda nku PM namba yng then nkutumie vielelezo

we ni muongo sana..hakuna bank officer anaelipwa kiasi hicho....ukimuona bank officer ana maendeleo labda awe credit officer kwa ajili ya kupewa rushwa...
 
we ni muongo sana..hakuna bank officer anaelipwa kiasi hicho....ukimuona bank officer ana maendeleo labda awe credit officer kwa ajili ya kupewa rushwa...

ss unasha nn?? okey.. sema ss ww salary n.kias gn.. nmeanza job 2010 kwa lak 5 na 70 take home... kwa hyo itabak hyo unadhan?? pole kwa mawazo ulyojiwekea. ila habar ndo hyo!!
 
Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department. Naamini Maisha ni hatua tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi
kama umefanya kazi kwa chini ya miaka mitatu - wakikupa 1.5m take home chukua fasta - vinginevyo nafikiri watakupa 1.2m pia siyo mbaya.

Kama ndiyo kwanza unatoka shule basi utapewa si zaidi ya 800k take home. pia usiiache!!
 
ss unasha nn?? okey.. sema ss ww salary n.kias gn.. nmeanza job 2010 kwa lak 5 na 70 take home... kwa hyo itabak hyo unadhan?? pole kwa mawazo ulyojiwekea. ila habar ndo hyo!!

kwa anaeanza kazi. Take home..tsh.245,000
 
kazi za benk ni matai tu na makoti ya suti, mshahara hakuna kitu
 
kafanye interview huo mshahara ulotajiwa si kweli...sijui sh ngap lakn si laki 2 ,...nenda upate, fatilia zaidi ujue ili ujibu hilo swali, au study kwa lever yako ya elimu na uzoefu wanalipwaje na bank zingne? ndo ujievaluate

pamoja sana mkuu ndo natoka salary 1.8m take home 1.4m nasubiri kama nitaitwa hatua ya pili Blessed me
 
kama umefanya kazi kwa chini ya miaka mitatu - wakikupa 1.5m take home chukua fasta - vinginevyo nafikiri watakupa 1.2m pia siyo mbaya.

Kama ndiyo kwanza unatoka shule basi utapewa si zaidi ya 800k take home. pia usiiache!!

kweli kabisa mkuu FUSO Nmekupata kabsa nimefata maerekezo yako be Blessed
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom