Young murrah
JF-Expert Member
- Mar 31, 2014
- 415
- 459
- Thread starter
- #101
ungekuwa huna kazi mkuu usingeuliza mshahara kwanza.....anyway wish u all the best then
mkuu hata kwenye Interview wanauliza wakulipe shilingi ngapi so ni vizuri kupata take home ili nsijekujifunga na maneno yangu okey?