Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department
"Naamini Maisha ni hatua
tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi

Moja wapo ya maswali utakayoulizwa: Elezea jina CRDB...
 
Habar wana jf Nimeitwa na hawa jamaa wa crdb kama IT naomba kujua take home salary ya IT Department
"Naamini Maisha ni hatua
tunapambana bahasha sizichoke Mungu yu nasi
Wale watu wao ambao wapo pale mie sijui niitaje maana Internship nachofahamu ni mwanafunzi wa chuo ambae atarudi chuo lakini wale pale kama wamewekwa tuu ili ikitokea ajira wawachukue wanakula kilo 5 sasa we mupya sijui utakula ngapi!!!??ila mfanyi kazi wa chini anaanzia kilo 7...
ALL DA BEST "CHAMPION"
 
Wale watu wao ambao wapo pale mie sijui niitaje maana Internship nachofahamu ni mwanafunzi wa chuo ambae atarudi chuo lakini wale pale kama wamewekwa tuu ili ikitokea ajira wawachukue wanakula kilo 5 sasa we mupya sijui utakula ngapi!!!??ila mfanyi kazi wa chini anaanzia kilo 7...
ALL DA BEST "CHAMPION"

Asante sana mkuu tutapambana
"Punda afe mzigo ufike take home kilo 5???
 
Mwenyewe hauko specific IT kwa level gani certificate,diploma au bachelor wayu watajua jinsi ya kkpa jibu sahihi
 
Mwenyewe hauko specific IT kwa level gani certificate,diploma au bachelor wayu watajua jinsi ya kkpa jibu sahihi

bacherol of IT nataka kujua Take home yao kama wajua nijuze yamebaki masaa 18 tu
 
Back
Top Bottom