Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Nimeitwa kwenye Interview CRDB

mi kama dada yako nakushauri nenda kafanye interview tena kwa umakini maisha ni magumu yaweza fika kipindi ukatafuta kazi ya mshahara wa laki moja na nusu nenda ukaangalie hali ya hewa maisha ni kutafuta nenda huku unaangalia mishe nyingine zikijipa unasepa unaenda kwengine
 
hujui unachokiongea KAMA SYSTEM IPO COMPLETE wasingehitaji ma it alafu msimdanganye mwenzenu kama customer care analipwa zaidi ya 245 graduate atalipwaje iyo au mnamkatisha tamaa asiende interview bz na nyie mmeitwa interview?

Kwa akili yako yote unadhani customer care ni darasa la 7?? May be hapo ulipo, sikatai kabisa maana kuna kampuni nyingine mwenye elimu kubwa ni form 6 tena wanamwita CEO wao.
 
mi kama dada yako nakushauri nenda kafanye interview tena kwa umakini maisha ni magumu yaweza fika kipindi ukatafuta kazi ya mshahara wa laki moja na nusu nenda ukaangalie hali ya hewa maisha ni kutafuta nenda huku unaangalia mishe nyingine zikijipa unasepa unaenda kwengine

Safi sana. We need people like you.
 
me npo crdb as bank officer... tke home kwa kuanza n.lak 7 na nusu then kla tr 1 unapewa hela ya fuel lak 1...... karb crdb.ULIPO TUPO
 
mi kama dada yako nakushauri nenda kafanye interview tena kwa umakini maisha ni magumu yaweza fika kipindi ukatafuta kazi ya mshahara wa laki moja na nusu nenda ukaangalie hali ya hewa maisha ni kutafuta nenda huku unaangalia mishe nyingine zikijipa unasepa unaenda kwengine

Asante dada kwa Ushauri mambo vip lakini
 
me npo crdb as bank officer... tke home kwa kuanza n.lak 7 na nusu then kla tr 1 unapewa hela ya fuel lak 1...... karb crdb.ULIPO TUPO

pamoja sana Nmekuelewa popote Interview ilipo na mm nipo take home kwa IT Department itakuwa vip nkiulizwa nijibu nsiende wrong
 
i wsh u all the bst..!! nyie IT weng mnanza na 1:8 basic.. mpk makato yt mnaweza kuondoka na 1:4or 3.tofaut na ivo ita depend IT ktk ishu gn..kdg mna salary nzur.. ur welcom
 
me npo crdb as bank officer... tke home kwa kuanza n.lak 7 na nusu then kla tr 1 unapewa hela ya fuel lak 1...... karb crdb.ULIPO TUPO

pamoja sana Nmekupa popote Interview ilipo na mm nipo how much take home in IT Department?
 
Kwa akili yako yote unadhani customer care ni darasa la 7?? May be hapo ulipo, sikatai kabisa maana kuna kampuni nyingine mwenye elimu kubwa ni form 6 tena wanamwita CEO wao.

duh yalikuwa maoni yake mkuu kutofautisha na coment ya@Abakanora
 
i wsh u all the bst..!! nyie IT weng mnanza na 1:8 basic.. mpk makato yt mnaweza kuondoka na 1:4or 3.tofaut na ivo ita depend IT ktk ishu gn..kdg mna salary nzur.. ur welcom

asante sana kwa kunifahamisha nafikiri hapo ntapata cha kujibu ila nakuja IT Department so haijawa limitation ntafanya kazi zote zinazohusiana na salary wataongeza tu
 
kabla ya hapo ulikuwa unafanya kazi wapi? au ulikuwa unatafuta kazi? kikubwa kama hukuwa na kazi nenda kajenge uzoefu, mshahara si ishu hata kama unalipwa laki 3, ila uzoefu utakupelekea kupata mil2 kwa mwezi. halafu ki ukweli maswali yako yanaboa sana, yani vijana wa siku hizi mna akili kama mbuye, yani hamueleweki, hiyo iterview tu mbwembwe nyingi.
 
kabla ya hapo ulikuwa unafanya kazi wapi? au ulikuwa unatafuta kazi? kikubwa kama hukuwa na kazi nenda kajenge uzoefu, mshahara si ishu hata kama unalipwa laki 3, ila uzoefu utakupelekea kupata mil2 kwa mwezi. halafu ki ukweli maswali yako yanaboa sana, yani vijana wa siku hizi mna akili kama mbuye, yani hamueleweki, hiyo iterview tu mbwembwe nyingi.

hahaha Umenifurahisha mkuu cna uzoefu ila vitendo nlivyowahi kufanya na Intership naamini nimekwiva kabsa Give me all da best in this Interview
 
me npo crdb as bank officer... tke home kwa kuanza n.lak 7 na nusu then kla tr 1 unapewa hela ya fuel lak 1...... karb crdb.ULIPO TUPO

Laki 1 kwa mwezi ya mafuta ni ya kwenye bajaji au Fu yeng toyo?
 
Kiasi hicho cha mshahara sio kweli
Kiwango ni kati ya laki 8 na 9 tale home ni kati ya laki 6 na 7
 
mi nakuombea tuu ufanikiwe hata kama mshahara ni mdogo we kubali tuu kuliko kukaa bure nyumbani siku hizi kila mtu ni msomi
 
Back
Top Bottom