mamaa fetty
New Member
- Mar 15, 2014
- 1
- 1
mi kama dada yako nakushauri nenda kafanye interview tena kwa umakini maisha ni magumu yaweza fika kipindi ukatafuta kazi ya mshahara wa laki moja na nusu nenda ukaangalie hali ya hewa maisha ni kutafuta nenda huku unaangalia mishe nyingine zikijipa unasepa unaenda kwengine