Nimeitwa kwenye Interview CRDB

Nimeitwa kwenye Interview CRDB

kama ni wingi sikuhizi kila course ina watu kibao kitaa alafu Unajua kazi ya IT??

watu wengi wa course tofauti wanajua it so it sio ishu kabisa siku hizi..kuanzia ma accountant., engineers, wote it wanaijua kutokana na kukua kwa technolojia. it haina tofauti na secretary course
 
kama ni wingi sikuhizi kila course ina watu kibao kitaa alafu Unajua kazi ya IT??

system ya crdb iko complete kwa hiyo ma it hawana kazo yoyote labda itokee itilafu kwenye network ambayo ni mara chache inatokea.. kama ni kupost cash kwenye account za watu mtu yoyote anaweza kufanya hata form four leaver.
 
system ya crdb iko complete kwa hiyo ma it hawana kazo yoyote labda itokee itilafu kwenye network ambayo ni mara chache inatokea.. kama ni kupost cash kwenye account za watu mtu yoyote anaweza kufanya hata form four leaver.

hujui unachokiongea KAMA SYSTEM IPO COMPLETE wasingehitaji ma it alafu msimdanganye mwenzenu kama customer care analipwa zaidi ya 245 graduate atalipwaje iyo au mnamkatisha tamaa asiende interview bz na nyie mmeitwa interview?
 
hujui unachokiongea KAMA SYSTEM IPO COMPLETE wasingehitaji ma it alafu msimdanganye mwenzenu kama customer care analipwa zaidi ya 245 graduate atalipwaje iyo au mnamkatisha tamaa asiende interview bz na nyie mmeitwa interview?

umeshawahi kufanya kazi bank wewe? mi naongea kutokana na uzoefu wa kaz za benk tofauti tofaut ninazozijua..system zote za bank ziko complete kwa ajili ya security... huwezi kuichokonoa tu bila kuruhusiwa...
 
hujui unachokiongea KAMA SYSTEM IPO COMPLETE wasingehitaji ma it alafu msimdanganye mwenzenu kama customer care analipwa zaidi ya 245 graduate atalipwaje iyo au mnamkatisha tamaa asiende interview bz na nyie mmeitwa interview?

umeshawahi kufanya kazi bank wewe? mi naongea kutokana na uzoefu wa kaz za benk tofauti tofaut ninazozijua..system zote za bank ziko complete kwa ajili ya security... huwezi kuichokonoa tu ovyo ovyo...
 
Kaka mpunga mzur tu kuna marupu rupu ya mafuta ya gari hata kama hauna xo uckate tamaa afu wale jamaa wanapiga intrvw mbili writen na oral xo jipange ol da best!
 
watu wengi wa course tofauti wanajua it so it sio ishu kabisa siku hizi..kuanzia ma accountant., engineers, wote it wanaijua kutokana na kukua kwa technolojia. it haina tofauti na secretary course

hapo Umeingia choo cha kike tofautisha computer Application na IT unayosema ww Inaitwa computer Application
 
hujui unachokiongea KAMA SYSTEM IPO COMPLETE wasingehitaji ma it alafu msimdanganye mwenzenu kama customer care analipwa zaidi ya 245 graduate atalipwaje iyo au mnamkatisha tamaa asiende interview bz na nyie mmeitwa interview?

kweli kabsa watu hawajui kazi za IT kabsa ila wanakariri IT anaweza kuwa Muhasibu,sales production n.k
 
Back
Top Bottom