Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
Kwahiyo unasemaje?
Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.
So, are you trying to say that you are now available...PM zinakaribishwa? Kuwa muwazi tuanze kukukuruka!
Mkuu nimeshindwa kujua anataka nini tumpongeze au tumcheke au tumshauri aende akaiokote au aiache humo humo
Nimechoka na kero za mpenz wangu.nikaamua kumwambia "it ova" na kuitupa ring yenye thamani kwenye dampo..mana nimeona kuuza c vizur.bora nitoe uthaman.