adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 2,888
- 4,389
Kama sikosei waliwahi kutueleza kuwa ukitumiwa Fedha kimakosa...
Kausha mhusika anatakiwa kuripot kwenye mtandao husika.Baada ya hapo wao watawajibika kuurudisha ama kuusitisha.
Japo umefanya jambo lenye mashiko ila pindi shida ikijitokeza basi niliwahi kusikia kuwa Unaisaidia Polisi katika ushirikiana hasa katika mambo ya utakatishaji Mzigo...labda nilielewa vibaya.
Kausha mhusika anatakiwa kuripot kwenye mtandao husika.Baada ya hapo wao watawajibika kuurudisha ama kuusitisha.
Japo umefanya jambo lenye mashiko ila pindi shida ikijitokeza basi niliwahi kusikia kuwa Unaisaidia Polisi katika ushirikiana hasa katika mambo ya utakatishaji Mzigo...labda nilielewa vibaya.