Wenzako wanafukuzana, wewe unazurura tu!!!
mbowe amekulipa tsh ngapi kumchafua zito?
kanyoe mustach kwanza.
siku sio nyingi utajutia kutumika.
Kamanda unahangaika bure pesa wanakula kina Lema wewe endelea kuwa msukule tu.
Nimepokelewa.
vizuri sana hapa Shirati na makamanda wakiwa na boda boda nyingi sana,wasafiri wenzangu walistuka maana nilikuwa kwenye (Hiace) daldala,makamanda tushirikiane.
Kesho tutakuwa kata ya Tai,kesho kutwa Ingiri,jumapili itakuwa mjini hapa,kama uko mbali au karibu tushirikiane hasa vijijini kwenye changamoto kubwa.
Wenzako wanafukuzana, wewe unazurura tu!!!
Niko tree top kamanda,nitafute kwa namba 0756039703Kamanda mawazo uko wap? Mi
niko shirati saizi niko hapa samaki bar napata moja moto moja baridi
niko na wapiganaji wanataka kukuona. Uko wap kamanda?