Nimeikubali barabara ya Mwenge - Morocco hakika ilani ya CCM kiboko, Lissu asingeweza haya!

Hata Hashim Rungwe asingeshindwa kukopa hela na kujenga barabara, na bila shaka hata vijijini angejenga na pia kumaliza tatizo la maji.
Kukopa ni suala lingine na kuzitumia kwa malengo husika ni Jambo jingine
Kenya wamekopa dola bilioni 1 kwa ajili ya kupambana na mafua,lakini viongozi wanagawana Kama njugu
 
Kukopa ni suala lingine na kuzitumia kwa malengo husika ni Jambo jingine
Kenya wamekopa dola bilioni 1 kwa ajili ya kupambana na mafua,lakini viongozi wanagawana Kama njugu
Hata hao Chadema walipewa visima na mfadhili wao Sabodo waliishia kuvifisadi tu hadi yule muhindi akakasirika na kuondoka zake!
 
Kukopa ni suala lingine na kuzitumia kwa malengo husika ni Jambo jingine
Kenya wamekopa dola bilioni 1 kwa ajili ya kupambana na mafua,lakini viongozi wanagawana Kama njugu
Hello.

Si mkopo ni grant unapewa pesa unasema wapi wajenge. Wao hutaka uondoe incumberances zote mabomba au nyumba au tanesco cables.

Tukishabikia hata grants tunadhalilisha chama na mwenyekiti wa chama. Tuna miradi mingi ya kunadi sio hii michache ya misaada.

Tena huu mchakato wake ulianza wakati wa miaka ya mwisho ya JK.

Tuwashukuru mno Japan kwa misaada hii na waangalie maeneo mengine ya kusaidia.
 
Hata Hashim Rungwe asingeshindwa kukopa hela na kujenga barabara, na bila shaka hata vijijini angejenga na pia kumaliza tatizo la maji.

Miaka ya 60 ya uhuru bado baadhi ya Watanzania wana-share maji na mifugo huku matundu ya vyoo ya shule za watoto wetu ni kwa hisani ya mzungu.
Kwenye nchi ambayo haimiliki teknologia,haina base kubwa ya walipa kodi haina vyanzo vingi vya kodi nk. Miaka 60 ni michache mnoo kukamilisha mahaba yako.kama USA ilipata uhuru 1776 na ikakamilisha barabara zake 1950's thembuse kwenye nchi changa kama yetu,!! Nyie wa ufipani mtuache.
 
Hivi unadhani Wajapan wameota tu usingizini kuwa wakatoe ela za kujenga barabara ya Mwenge Tanzania na baada ya kutoka usingizini wakakurupuka kurupu...!kwenda benki na kuchota ela na kuzileta nchini kutekeleza ndoto yao? Tajiri Kichwa 'unaniangusha ujue'!
Ela
Ela!
 
Kupita kwenye barabara murua kama hizi ndio maendeleo ya watu yanapothibitika.

Nimeona kipande cha Mwenge hadi Sayansi, taa murua kabisa zinafungwa itakuwa safi sana, hongera CCM.

Chadema uchaguzi umekwisha chapeni kazi sasa kutoka Mwenge hadi Ufipa street ni dakika 3 tu.

Maendeleo hayana vyama!
Pathetic,

So you mean they used ccm funds to construct that road??

Do you think it's credit for rilling party or it's part of their responsibility and duties??
 
Back
Top Bottom