David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,679
- 5,221
.
KwendraaaaaaSijaanza kubet juzi, jana wala Leo nimeanza huu mchezo kabla hata
aya makampuni bado hayaanza,nimeanza huu mchezo tangu new Africa Hotel mwaka 2004.
Kifupi kuna member mmoja amenifungua mno katika namna ya kubet,mwezi mzima kila siku nashinda
Amenipa njia ambazo najuta kwanini nilichelewa kuzifahamu tangu hapo awali!!.
Nimeamini betting sio kwa ajili ya kila mtu ,betting ni maalumu kwa watu wachache wenye roho ngumu .
Mfano: katika basketball timu ya lioning na frayers jumla ya odds ni 1.43 halafu mtu anaweka stake ya mil 4.
Odds 1.43×stakes 4mil=5.72mil.
5.72mil-4mil=1.72mil.
Faida ni mil 1.72mil ndani ya nusu saa tu.
Nipo katika ajira serikalini kwa miaka 15 ila betting ya mwezi miezi 2 imenipa maendeleo mara 10 ya ajira niliyosotea kwa miaka 15.
Sawa msabatoKwendraaaaaa
Sijaanza kubet juzi, jana wala Leo nimeanza huu mchezo kabla hata
aya makampuni bado hayaanza,nimeanza huu mchezo tangu new Africa Hotel mwaka 2004.
Kifupi kuna member mmoja amenifungua mno katika namna ya kubet,mwezi mzima kila siku nashinda
Amenipa njia ambazo najuta kwanini nilichelewa kuzifahamu tangu hapo awali!!.
Nimeamini betting sio kwa ajili ya kila mtu ,betting ni maalumu kwa watu wachache wenye roho ngumu .
Mfano: katika basketball timu ya lioning na frayers jumla ya odds ni 1.43 halafu mtu anaweka stake ya mil 4.
Odds 1.43×stakes 4mil=5.72mil.
5.72mil-4mil=1.72mil.
Faida ni mil 1.72mil ndani ya nusu saa tu.
Nipo katika ajira serikalini kwa miaka 15 ila betting ya mwezi miezi 2 imenipa maendeleo mara 10 ya ajira niliyosotea kwa miaka 15.
Unarisk 5miliooookwa 1,7 miliooo,,,,,kwel ww mkamalia
Ebu tuwekee mkeka wa ilo treni lako uliloweka stake ya 200/500 na ukashinda.Huo ujinga sifanyi yani ni mwendo wa tren stak mia 200 au jero na kinaeleweka siwezi risk kibunda yangu niliyotafuta kwa jasho kisa kanji ..never ever