Nimeichoka 'Samahani' Yako (sorry is a Sorry Word)

Nimeichoka 'Samahani' Yako (sorry is a Sorry Word)

Natamani sana nikusaidie kaka mkubwa, ila watu8 ana maneno matamu sana na yatamfanya Anitha asitishe uamuzi wa kukurudia na atajikuta anataka aambatane na yangu maneno.

HAhaha du basi wewe dokta nimeku-exempt! Ila vipi kuhusu ile lunch yetu na sakapal?

Umeshatuita wa wazee wa infii (kashfa kubwa kuliko zote 2013), sasa tutakushauri nini?

Babu DC!

Babu kwenye kuomba msamaha kuna principles za ma-infii zinatumika naihitaji msaada wenu!

nataka na mimi siku moja niwe na bibi DC wangu, au mama Matesha wangu au mama V wangu au AshaDii ?? gfsonwin ?? cacico wangu (shem Kaizer unatisha!!!)...
 
Last edited by a moderator:
Ila kama ni true story, ili uweze kumove on; mfuate Anitha umuombe msamaha kwa kumuumiza na kutotimiza ahadi mlizowekeana and this time it should come from your heart. Maana machozi na simanzi zake zinaweza kuwa the reason ya wewe kutofanya vizuri kwenye relationships.

Wapenzi should be very careful na nini wanachoahidiana mbele ya Mungu, maana Mungu anahonor makubaliano yao na kama hawayamaanishi au hata kujaribu kuyalinda basi unhappiness yaweza turn up to be their cup of tea.

Kitu kingine ninachoweza kuiona ktk story hii ni kuwa ule uhusiano ulikuwa wa kimungu na ndio maana shetani akaingilia kati; maana alijua ndoa ingefungwa basi ile familia ingekuwa institution nzuri ya kiucha Mungu; so the devil brought all those girls n their temptation ambayo Mentor was too weak to resist. Laiti kama mahusiano yangeinvolve sex and all that is associated with it, huenda temptations zisingekuwepo as shetani ameshajihakikishia kuwa hawa ni wangu so hahitaji nguvu nyingi kuwaharibu na again ndoa isingekuwa ya furaha na amani.
 
Last edited by a moderator:
HAhaha du basi wewe dokta nimeku-exempt! Ila vipi kuhusu ile lunch yetu na sakapal?



Babu kwenye kuomba msamaha kuna principles za ma-infii zinatumika naihitaji msaada wenu!

nataka na mimi siku moja niwe na bibi DC wangu, au mama Matesha wangu au mama V wangu au AshaDii ?? gfsonwin ?? cacico wangu (shem Kaizer unatisha!!!)...

Ila sasa ukishammwagia mtu kashfa, unategemea atakupa ushauri wa maana kweli?

Hapa unajaribu kusema kuwa, umfuate mwizi na kumwambia,...wee mwizi njoo unipe mbinu za kuiba...!!

Atakusaidia kweli??
 
HAhaha du basi wewe dokta nimeku-exempt! Ila vipi kuhusu ile lunch yetu na sakapal?

Hahah yaani bora tu uniengue...

Kaka mkubwa ngoja nicheck na sakapal upande wa pili halafu nijue kama kweli yupo siriazi...ifu posibo wi keni arenji mapema iwezekanavyo kabla OBAMA hajafika hahahah!!!
 
Last edited by a moderator:
Ila sasa ukishammwagia mtu kashfa, unategemea atakupa ushauri wa maana kweli?

Hapa unajaribu kusema kuwa, umfuate mwizi na kumwambia,...wee mwizi njoo unipe mbinu za kuiba...!!

Atakusaidia kweli??

Duuh!! Pole Mentor ila kama Anitha alikupenda kikwelikweli atarudi tuu maana huko nae atakuwa anakumiss
 
Last edited by a moderator:
Hahah yaani bora tu uniengue...

Kaka mkubwa ngoja nicheck na sakapal upande wa pili halafu nijue kama kweli yupo siriazi...ifu posibo wi keni arenji mapema iwezekanavyo kabla OBAMA hajafika hahahah!!!

............................. watu8 hapo kwenye red unataka nibadili mawazo yangu kwa Obama? kumbe ndo mpango wenu wewe na Mentor? kama ni hivyo basi hata ile lunch imekufa, haipo tena looh bora umeniambia mapema mimi nipo sirias na Obama tuu wengine mh mh.

Leo yenyewe naenda mpokea King Muswati na kesho naenda mpokea Rais wa Sri Lanka kama maandalizi ya Obama wangu looh
 
Last edited by a moderator:
I understand bro. ...utu ni kusameheana tena kama bado unampenda mtu..dah!

mlipanga na kukubaliana!

ulivunja makubaliano,zaidi ya mara 1!

kipi cha kufanya mmoja anapovunja makubaliano?

sababu unampenda mtu,mliyopanga si issue!
 
Ila kama ni true story, ili uweze kumove on; mfuate Anitha umuombe msamaha kwa kumuumiza na kutotimiza ahadi mlizowekeana and this time it should come from your heart. Maana machozi na simanzi zake zinaweza kuwa the reason ya wewe kutofanya vizuri kwenye relationships.

Wapenzi should be very careful na nini wanachoahidiana mbele ya Mungu, maana Mungu anahonor makubaliano yao na kama hawayamaanishi au hata kujaribu kuyalinda basi unhappiness yaweza turn up to be their cup of tea.

Kitu kingine ninachoweza kuiona ktk story hii ni kuwa ule uhusiano ulikuwa wa kimungu na ndio maana shetani akaingilia kati; maana alijua ndoa ingefungwa basi ile familia ingekuwa institution nzuri ya kiucha Mungu; so the devil brought all those girls n their temptation ambayo Mentor was too weak to resist. Laiti kama mahusiano yangeinvolve sex and all that is associated with it, huenda temptations zisingekuwepo as shetani ameshajihakikishia kuwa hawa ni wangu so hahitaji nguvu nyingi kuwaharibu na again ndoa isingekuwa ya furaha na amani.

Duh, dada Kaunga..umeongea ukweli mtupu mpaka mwili ukanisisimka...senkyu vere much!

Do u mean hakuna possibility of landing her back? I know where she is ni vile tu am afraid to go back to her anaweza kudhani namdanganya bado...av been clean for over a year now!

Ila sasa ukishammwagia mtu kashfa, unategemea atakupa ushauri wa maana kweli?

Hapa unajaribu kusema kuwa, umfuate mwizi na kumwambia,...wee mwizi njoo unipe mbinu za kuiba...!!

Atakusaidia kweli??

Hahah Babu kama ni kashfa si mliianzisha wenyewe mlipoanzisha chama chenu cha mainfii...au??

Ila babu niko radhi kukuomba msamaha kwa kashfa, pliz nisaidie kwa Anitha...nipo chini ya miguu yako, chonde chonde!

Hahah yaani bora tu uniengue...

Kaka mkubwa ngoja nicheck na sakapal upande wa pili halafu nijue kama kweli yupo siriazi...ifu posibo wi keni arenji mapema iwezekanavyo kabla OBAMA hajafika hahahah!!!

Nishakuengua ndo maana hujapata PM yangu yenye formal request kuwa mwanakamati..

A a bro umeharibu iyo ya kumsahaulisha kuhusu Obama ni ishu ya 'kimyakimya' kama mnavyozamaga chumvini!

Duuh!! Pole Mentor ila kama Anitha alikupenda kikwelikweli atarudi tuu maana huko nae atakuwa anakumiss
sakapal, do you really think so? Unajua unaweza kuwa unampenda mtu but usiwe naye...mimi sitaki hili. Wadada mna usemi wenu, "I love you sana tu Mentor, but I just can't be with you!" #naogopa

............................. watu8 hapo kwenye red unataka nibadili mawazo yangu kwa Obama? kumbe ndo mpango wenu wewe na Mentor? kama ni hivyo basi hata ile lunch imekufa, haipo tena looh bora umeniambia mapema mimi nipo sirias na Obama tuu wengine mh mh.

Leo yenyewe naenda mpokea King Muswati na kesho naenda mpokea Rais wa Sri Lanka kama maandalizi ya Obama wangu looh
watu8 unaona sasa!??

Ila sakapal, co kiivo..just casual lunch with ur brothers..tukupe mbinu za kumpata Obama...
 
Last edited by a moderator:
Duh, dada Kaunga..umeongea ukweli mtupu mpaka mwili ukanisisimka...senkyu vere much!

Do u mean hakuna possibility of landing her back? I know where she is ni vile tu am afraid to go back to her anaweza kudhani namdanganya bado...av been clean for over a year now!

Nenda kwanza kaombe msamaha bila kuexpect anything in return; halafu just be yourself kama kweli unajuta it will show it in your eyes and expression na atajua tu. Muambie hutegemei akurudie lakini unaomba msamaha kwa kuwa unajua ulikosea sana na umeona ni muda sasa wa kutubu ili uweze pata amani dont mention sijui shetani wala nini, kubali 100% responsibility na expect 0% ya kuwa taken back; who knows yaweza leta muujiza.

Nafikiri kila mtu (naepuka kusema wadada tu) wanaelewa mtu kama anamaanisha anachokisema au la, so dont go there if you are not ready.
 
Nenda kwanza kaombe msamaha bila kuexpect anything in return; halafu just be yourself kama kweli unajuta it will show it in your eyes and expression na atajua tu. Muambie hutegemei akurudie lakini unaomba msamaha kwa kuwa unajua ulikosea sana na umeona ni muda sasa wa kutubu ili uweze pata amani dont mention sijui shetani wala nini, kubali 100% responsibility na expect 0% ya kuwa taken back; who knows yaweza leta muujiza.

Nafikiri kila mtu (naepuka kusema wadada tu) wanaelewa mtu kama anamaanisha anachokisema au la, so dont go there if you are not ready.

Thanks a lot sis!

Naogopa kwenda but someday I will...and then she will know that I mean it!

Thanks again!

Na kwa mtini, wengine wajifunze...
 
watu8 unaona sasa!??

Ila sakapal, co kiivo..just casual lunch with ur brothers..tukupe mbinu za kumpata Obama...

hahahahaaaaaa waacha weee strategies zenu hizo heheheheee watu8 kweli kaharibu mie na Obama hadi kieleweke yaani amenifanya hadi nimeacha bange, ujue nimekamatika kwake looh Mentor akiondoka obama tunaweza pata lunch pamoja na watu8
 
Last edited by a moderator:
Mentor ni kweli haya yalikutokea wewe au ni yamtu mwingine?
Najaribu kuunganisha na ile ya Mary lol!
 
hahahahaaaaaa waacha weee strategies zenu hizo heheheheee watu8 kweli kaharibu mie na Obama hadi kieleweke yaani amenifanya hadi nimeacha bange, ujue nimekamatika kwake looh Mentor akiondoka obama tunaweza pata lunch pamoja na watu8

ONE LOVE, ONE HEART, LET'S GET TOGETHER N .............................! !

Mentor ni kweli haya yalikutokea wewe au ni yamtu mwingine?
Najaribu kuunganisha na ile ya Mary lol!

Ya kwangu Mrs. Eben-ezeri
 
Sasa wakati haya yanatokea na Anitha, Mary alikuwa wapi, mbona unanichanganya!


ONE LOVE, ONE HEART, LET'S GET TOGETHER N .............................! !



Ya kwangu Mrs. Eben-ezeri
 
Sasa wakati haya yanatokea na Anitha, Mary alikuwa wapi, mbona unanichanganya!

Ya Mary ni ya mwingine..ya Anitha ni yangu!

halafuuu kuna jambo hujanijibu hadi leo...
 


Mkuu Mentor Anitha naye kanitumia PM kuomba uusikilize wimbo huu ambao kauchagua 🙂🙂



"Take A Bow"


Oh, How about a round of applause, Yeah
A standing ovation
Oh, Yeah
Yeah, Yeah, Yeah, Yeah

You look so dumb right now
Standing outside my house
Trying to apologize
You're so ugly when you cry
Please, just cut it out

[Chorus:]
Don't tell me you're sorry 'cause you're not
Baby when I know you're only sorry you got caught
But you put on quite a show
Really had me going
But now it's time to go
Curtain's finally closing
That was quite a show
Very entertaining
But it's over now (but it's over now)
Go on and take a bow

Grab your clothes and get gone (get gone)
You better hurry up
Before the sprinklers come on (come on)
Talking' bout'
Girl, I love you, you're the one
This just looks like a re-run
Please, what else is on (on)

[Chorus]

[Bridge]
Oh, And the award for
The best liar goes to you (goes to you)
For making me believe (that you)
That you could be faithful to me
Let's hear your speech, Oh

How about a round of applause
A standing ovation

But you put on quite a show
Really had me going
Now it's time to go
Curtain's finally closing
That was quite a show
Very entertaining
But it's over now (but it's over now)
Go on and take a bow
But it's over now


Du kuna cha kuchekesha kweli hapo Baraka Roman? hebu nishirikishe na mimi??



Ipo tu kawaida sanaaa....heri uendelee na za kibongo tu bro..



Ahahah umenikumbusha ilo songi..ngoja nimwite BAK aje atuwekee hapa: CHEATERS PRAYER na huu niliodediketiwa na Anitha wangu: SORRY IS A SORRY WORD - TARRUS RILEY
 
Last edited by a moderator:


Mkuu Mentor Anitha naye kanitumia PM kuomba uusikilize wimbo huu ambao kauchagua 🙂🙂



"Take A Bow"


Oh, How about a round of applause, Yeah
A standing ovation
Oh, Yeah
Yeah, Yeah, Yeah, Yeah

You look so dumb right now
Standing outside my house
Trying to apologize
You're so ugly when you cry
Please, just cut it out

[Chorus:]
Don't tell me you're sorry 'cause you're not
Baby when I know you're only sorry you got caught
But you put on quite a show
Really had me going
But now it's time to go
Curtain's finally closing
That was quite a show
Very entertaining
But it's over now (but it's over now)
Go on and take a bow

Grab your clothes and get gone (get gone)
You better hurry up
Before the sprinklers come on (come on)
Talking' bout'
Girl, I love you, you're the one
This just looks like a re-run
Please, what else is on (on)

[Chorus]

[Bridge]
Oh, And the award for
The best liar goes to you (goes to you)
For making me believe (that you)
That you could be faithful to me
Let's hear your speech, Oh

How about a round of applause
A standing ovation

But you put on quite a show
Really had me going
Now it's time to go
Curtain's finally closing
That was quite a show
Very entertaining
But it's over now (but it's over now)
Go on and take a bow
But it's over now


duh mkuu kama kasema hivyo basi tena..sina mbinu nyingine zaidi!!
vipi nikimjimbu, "I KNOW - ALAINE"

Yes I know, yes I know, I know
That there will never be a love like this again
Like this again

hapa sitamani @Fp, sakapal na Karucee wapaone wanavojua kudadavua nyimbo...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom