ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
umenifanya nicheke kwa comment yako bestito kwaaa kwaaa kwaaa kwaaaa
hii hadithi imenifanya nitabasamu kwa vitu 2:
1) imenikumbusha story ya "till marriage" na jinsi ambavyo wakaka wanakubali kwa huyo wampendaye kuwa watavumilia na kusubiriana, yet hawawezi. wanaishia kupunguza uzito kwa jirani huku wanasubiria "the big day"..... na mara nyingi huwa wanabambwa.... hii ilishawahi kunikuta na huyo mtu pia nilimmwaga, I couldn't take it.
2) wakaka wanavyojua kusifilia mdada aliyemwingia moyoni! kumbe hii talent ya wakaka wote? yaani utakuta anavyomsifia huyo mdada utafikiri hakuzaliwa, i.e. alishushwa na Malaika, kutana naye sasa, utachoka.