Nimeichoka 'Samahani' Yako (sorry is a Sorry Word)

Nimeichoka 'Samahani' Yako (sorry is a Sorry Word)

wee hebu tambua unayeongea naye hapo ni mume wa mke mmoja hivyo kuwa makini naye na huyu aliyeandika hapa ndo.......................... wake?
pole sana Mentor Anitha wako ,moyo wake unaweza ukawa na kanafasi kadogo cha kukusamehe.

ila mkuu a real player hafumaniwi , enzi zangu................... bila fumanizi hata siku moja
 
Haya ndio mashairi ya wimbo wa mwaka 2013 wa chitchat: hivyo huna budi kuangalia na kukosoa kidogo kwani na we ni mwalimu msaidizi tupia lako hapa au rekebisha hapa: soma sasa:

1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama
Done n done...!



Duh Mnama na BAK mmeamua leo kuniumiza moyo sio...




Waiting too...on you!




Thanks Mokoyo, msaada wako kwenye kuomba msamaha unahitajika!



Next time jaribu kuto-quote the whole thread mangi!



Ahahaha Ngalikihinja, never trust a woman... Cc: awp
 
bestito uko wapi karibu kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mwimbaji/msanii bora wa chitchat 2013 kilele ni tarehe 6/7 hivyo andaa na andika mashairi ya wimbo wako hapa ili majaji waweze kudadavua hapa karibu
Sasa kwanini unakuwa sio mwaminifu jamani? Ona umempoteza Anitha, mtafute umuombe msamaha kwa uliyomfanyia

Jambo gani tena
 
  • Thanks
Reactions: ram
pole sana Mentor Anitha wako ,moyo wake unaweza ukawa na kanafasi kadogo cha kukusamehe.

ila mkuu a real player hafumaniwi , enzi zangu................... bila fumanizi hata siku moja


Never say never...wahenga hawakukosea waliposema, "Siku za mwizi ni arobaini". Shukuru Mungu hukukamatwa...leo hii ungekuwa na hadithi kama yangu majina tu ndo yangetofautiana!!!

mentor, sasa hivi Anitha yuko wapi??
Aisee nenda tena kaombe msamaha..........anaweza kukusamehe...yaani kaa nimeona kabisa...
this was ment to be your wife...na akikubali saa hii usizingue tena...!
watu kma hawa ni adim kinumar.
Tasia I, do you really think atanisamehe?

Kina BAK na Mnama wanaekea mawazo ya kukataliwa. Lemmie gather my courage niende...
 
Last edited by a moderator:
bestito nimekukumbuka sana ulipotelea wapi wee ni kazi nyingi nini? nakukaribisha kwenye shindano la kumsaka mwimbaji msanii bora wa chitchat 2013 hivyo uwepo na ushiriki wako ni muhimu sana andika wimbo wako hapa ili majaji wafanye kazi yao kudadavua huo wimbo na kisha uingie 5 bora za chitchat 2013 anza sasa na karibu leo tupo hapa pub tarehe 6/7/2013 kwenye tamasha hilo wimbo maalum wa chit chat huu hapa ni vyema ukaukariri soma hapa:
1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama
Duuh na mie niongezee pole sana
 
kariri wimbo huu best ni wa chitchat 2013
1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama
LoL!! Mentor....still waiting 🙂 🙂
 
bestito nimekukumbuka sana ulipotelea wapi wee ni kazi nyingi nini? nakukaribisha kwenye shindano la kumsaka mwimbaji msanii bora wa chitchat 2013 hivyo uwepo na ushiriki wako ni muhimu sana andika wimbo wako hapa ili majaji wafanye kazi yao kudadavua huo wimbo na kisha uingie 5 bora za chitchat 2013 anza sasa na karibu leo tupo hapa pub tarehe 6/7/2013 kwenye tamasha hilo wimbo maalum wa chit chat huu hapa ni vyema ukaukariri soma hapa:
1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama


Mwenzio haya makitu sijui zaidi najua tu kumkaangizia mzee home
Mashairi na Mie ni mtu na baba mkwe labda Riwaya
Hope ngoja nitumbukie huko zaidi ...
 
Never say never...wahenga hawakukosea waliposema, "Siku za mwizi ni arobaini". Shukuru Mungu hukukamatwa...leo hii ungekuwa na hadithi kama yangu majina tu ndo yangetofautiana!!!


Tasia I, do you really think atanisamehe?

Kina BAK na Mnama wanaekea mawazo ya kukataliwa. Lemmie gather my courage niende...

kama bado yupo hebu nenda kamchukue mke wako mtarajiwa kwa gharama yoyote Mentor , neva say neva ....... kamlilie umueleze umebadilika for real na iwe kweli umebadilika.
 
Last edited by a moderator:
oky tumbukiza kile upendacho hapa kama ni riwaya tutataandaa shindano la kumtafuta mtunzi wa riwaya, hadithi na vitabu bora ili nawe ufurahi
Mwenzio haya makitu sijui zaidi najua tu kumkaangizia mzee home
Mashairi na Mie ni mtu na baba mkwe labda Riwaya
Hope ngoja nitumbukie huko zaidi ...
 
Mkuu Mentor wala sina nia ya kukuumiza Mkuu, ushauri wangu kama Anitha bado yuko "available" kamtake radhi na kumuomba akupe nafasi nyingine. Huwezi jua Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Nenda kwanza kaombe msamaha bila kuexpect anything in return; halafu just be yourself kama kweli unajuta it will show it in your eyes and expression na atajua tu. Muambie hutegemei akurudie lakini unaomba msamaha kwa kuwa unajua ulikosea sana na umeona ni muda sasa wa kutubu ili uweze pata amani dont mention sijui shetani wala nini, kubali 100% responsibility na expect 0% ya kuwa taken back; who knows yaweza leta muujiza.

Nafikiri kila mtu (naepuka kusema wadada tu) wanaelewa mtu kama anamaanisha anachokisema au la, so dont go there if you are not ready.
Mentor ushauri mzuri sana kutoka kwa Kaunga.....ufanyie kazi mapema pole sana
 
Last edited by a moderator:
ladyfurahia mtima una nderemo na vifijo, kwa yako mistari iliyosimama, heko nakupa dole gumba nakusapoti, yangu keybodi igome ku-enter, mashairi ya vina hayatotiririka, busu:whistle: la upendo nakupatia, shavuni napo ndimini
kariri wimbo huu best ni wa chitchat 2013
1. Ni wakati wa furaha, nderemo na vifijofijo,
wakati wa kujiachia kwa raha zetu,
tukumbukapo huko nyuma tulikotoka na cc jf
viongozi imara walishika hima, kuongoza cc yetu daima
na leo tuko pamoja tukifurahia, uwepo wako na jirani yako
wauonaje best, isingekuwepo chitchat ungemjuaje,
Invisible robot kaza buti mwana, kuimarisha na kuwapa ban
kwa wale wasio na walio wagomvi, wenye kuleta mafarakano
na malumbano yasiyo na msingi wowote, kazi kwako twakupa,

chorus: Tumekuweka mbele yetu, wewe shujaa kiongozi wetu,
endeleza mapambano dhidi ya wale wasumbuao wenzao
huimarishe cc yetu kwa upendo na furaha tele
nasi tufurahi na kuwa pamoja daima x2

2. Rafiki mpendwa wangu wa moyo, niliyekuchagua wewe pekee,
ona jinsi ninavyojitolea kukutumia pm nyingi kwa ajili yako,
Ninaacha kazi na shughuli zangu, nakaa na ipad, laptop yangu,
kukukumbuka na kuchat nawe, kila saa na kila wakati,
nionapo jinalako na avatar yako, macho hujawa na upendo mwingi,
na pale nikuonapo ukinicomment kwenye yangu post,
nabaki kujawa na furaha isiyopimika wala kuwa na mfano.
Napend unapoitikia wito wa kuwa karibu yangu, na kuniona wapekee,
Sina la cha kukulipa basi pokea upendo wangu kwako
quote_icon.png
By Mnama
 
Sina hakika sana ila nina imani kwa kuliweka kwako wazi namna hii, ni njia mojawapo ya kujutia kile ulichokifanya. Kama inawezekana mtumie nakala ya walaka huu hata kwenye e mail yake ili kuonesha ni jinsi gani unajutia UJINGA ulioufanya. yawezekana akatafakari na kukusamehe kama hajachukua hatua nyingine zaidi.

Pole sana lakini huo ndio uanaume.
 
Ahsante mamii ngoja niende huko chit-chat nikaone kinachojiri kwenye hilo shindano

bestito uko wapi karibu kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mwimbaji/msanii bora wa chitchat 2013 kilele ni tarehe 6/7 hivyo andaa na andika mashairi ya wimbo wako hapa ili majaji waweze kudadavua hapa karibu
 
Pole..yalinikuta haya.except mi nlikuwa kwenye position ya anita.its crazy how scenario yako inataka kufanana na yangu.ni kidonda kikubwa sana..time is a healer though
 
Pole..yalinikuta haya.except mi nlikuwa kwenye position ya anita.its crazy how scenario yako inataka kufanana na yangu.ni kidonda kikubwa sana..time is a healer though
 
Back
Top Bottom