CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
yeuuuwiiii! nimeibiwa mume leo cku ya wiki ya pili cjamwona. . .aliyenionea mume wangu platozoom aniambie!
yeuuuwiiii! nimeibiwa mume leo cku ya wiki ya pili cjamwona. . .aliyenionea mume wangu platozoom aniambie!
mume haibwi bibi weeee.....
Kapata anayempa vitu zaidi yako....
Hivi umeshajaribu kucheck na BADILI TABIA ?
Huyo ndio hasaaaa mwizi maarufu wa waume za watu coz hata mimi alishawahi kuniiba
Hivi umeshajaribu kucheck na BADILI TABIA ?
Huyo ndio hasaaaa mwizi maarufu wa waume za watu coz hata mimi alishawahi kuniiba
Hahahahaaaaaa Judgement imebidi nicheke mwenyewe ujue yaani nimefurahishwa sana na kauli yako lol52 yaani wewe umekua mtu kama wa 10 nakuskia ukimuongelea BT Kiivo!
Sijui namie kuna siku ataniiba ?
Ngoja nisubiriesubirie nione kama atajaribu!
Heheheeee mwache alalame tu lolKatulizwa ndani akitaka kwenda kuoga anabebwa mgongoni. analiswa kama toto atarudi kwako unaeshinda jf hata huna muda wa kutandika kitanda lwako.
njoo kwangu mimi siibwi.
mume haibwi bibi weeee.....
Kapata anayempa vitu zaidi yako....
Hivi umeshajaribu kucheck na BADILI TABIA ?
Huyo ndio hasaaaa mwizi maarufu wa waume za watu coz hata mimi alishawahi kuniiba