Nimeiba chupi ya mke wangu

Nimeiba chupi ya mke wangu

Kama kweli wewe ndiyo huyu pichani basi kichwani hauko sawa unaleta post za kitoto.
a957a3ae8051b1b20e063c177ffd3d9e.jpg


-Ndumilakuwili-
Jamaa ana sura nzito inaonekana hata akili yake ni nzito hivyo hivyo ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee hiyo chupi unainusa huko ulipo au kuna kazi gani unaifanyia namuonea huruma mkeo kwa kupata mume kama wewe hasara tupu
Hahaha.. İtakua amechukua ikiwa chafu anaburudika na kale kaharufu.

young kilimanjaro
 
Aisee hiyo chupi unainusa huko ulipo au kuna kazi gani unaifanyia namuonea huruma mkeo kwa kupata mume kama wewe hasara tupu
Mahapa shunie

Mahaba Shunie
 
Inasikitisha sana...

JF-Expert member anaiba chupi ya mke...

Hii tabia inaelekea hujaianza leo ya udokozi...


cc: mahondaw
 
Hahahahaaaa....mkuu yani nimecheka kichizi aise!

So, ukiwa na chupi au kanga ya mkeo unakuwa unaiangalia, unajifunga (kanga) or unavaa wakati wa kulala (chupi)?? 😵

kama ni kuangalia basi makushauri angalau upige picha pande zote kuhakikisha unapata view halisia au save kama wallpaper of screensaver kabisa.
 
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi
Dampa hembu shunghulika na hili, Je ni la kipumba+______________? au la?
 
Back
Top Bottom