Nimeiba chupi ya mke wangu

Nimeiba chupi ya mke wangu

Hongera! Kwani hana nyingine ama hiyo alinunuliwa na boyfriend wake?
 
Itakua una matatzo ya akili

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli wewe ndiyo huyu pichani basi kichwani hauko sawa unaleta post za kitoto.
a957a3ae8051b1b20e063c177ffd3d9e.jpg


-Ndumilakuwili-
 
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi
Unakuwa wainusanusa au?
 
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi
0a74558dae324117e53c1ba0ef62d33e.jpg


Samahi mkuu Naomba kuuliza.

Huyo ni wewe??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo alie kwenye avatar ndo wewe,kama ndio basi mtihani,maana hapo watoto wanasema wana baba
 
Hali ya nchi watu wameanza kurukwa na akili


Inawezekana aisee,maisha ya karne hii yana stress sana hasa ukiwa nchi ya dunia ya tatu kusini mwa jangwa la sahara,usipokuwa na stamala nati inaweza ikalegea upstairs
 
Kama kweli wewe ni mume,pole zimuendee mkeo asee
Kubwa zima ovyoooo

Shame on you!!😡😡
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi
 
Back
Top Bottom