Nimeiba chupi ya mke wangu

Nimeiba chupi ya mke wangu

Leo mapumziko niko nimetulia tu nikaona si mbaya nipitie thread za hii njemba Labda kuna vya ajabu zaidi....hakuniangusha ....kama unajiona chizi hebu pitia maandiko yake naamini utajiona genius
 
Wadau Leo nipo safarini.Asubuhi nlimwomba wife chupi yake niondoke nayo akawa anagoma.Nilichofanya nikamuibia.Sa ivi anapiga Simu anadai Mali yake na amekua mkali..Huwa napenda kua na kanga au chupi take.Naombeni ushauri manake imekua kesi
Unaenda kumzindika Mkeo kwa Mganga hahahahahah
 
ad0c069f6eb651b79d030534123ccd93.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pichu unaenda kuifanyia nini? Je ikianguka au vibaka wakikuibia begi afu wakaitupa na mchawi akaiokota?
 
Ila wanaume wengi humu jf ni wanafiki sana,hivi kweli mnamshangaa huyo jamaa?Tuwe wa kweli please!
Kusema kweli hata nami uwa ni lazima niibe chupi ya wife km nasafiri aisee tena navizia ile ambayo amevaa asubuhi wakati anaenda job ile jioni akivua me napita nayo km kipanga. Yaani huko niendako huo ndo mchepuko wangu wa ukweliiii na wala si ushirikina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom