Hero
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 3,932
- 2,832
Infinix, wanaonitakiaga mabaya wote mwishowe huwa wananyoosha mikono kwa kujikuta nakumbana na mema badala ya mabaya! Kwangu corona virus alipita na akatoka nduki bila kuaga zaidi ya mwezi uliopita, maana alijuta kujipendekeza kwangu! Wasiwasi wangu ni kwako kama akikupitia utaweza ku'survive'! Maombi yangu hicho kirusi kisikusogelee ww na watanzania wengine wote ambao bado kuambukizwa! Na wale walioambukizwa wasiugue bali kirusi ndio kisalimu amri, na kwa wale waliougua, wapone haraka na tuendelee kulijenga taifa!Huyu kirusi alivyo na akili nyingi kama za kwako Hero, ataanza na wewe ili zikukae sawa
Sent using Jamii Forums mobile app