Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.
Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?
Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?
Weka pesa bank, at your own risk
Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?
Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?
Weka pesa bank, at your own risk