Nimegundua ni hatari kuhifadhi pesa benki ukiwa unafanya biashara Tanzania

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,894
155,916
Wafanyabiashara wengi, wakubwa, wa kati kwa wadogo huu mwisho wa mwaka wamekutwa na dhahama la kusikitisha na kuhuzunisha, wamefungiwa account binafsi za benki na zile za biashara na mamlaka moja yenye nguvu.

Kwenye mazingira kama haya ambapo unaporwa hela zako zote, kuna haja gani ya kuweka pesa benki?

Waswahili wanasema tunajifunza kutokana na makosa. Makosa ya walioporwa pesa zao zilizopo benki tanatufundisha nini?

Weka pesa bank, at your own risk
 
As long as unafanya biashara pasipo kona kona sasa wasiwasi wa nini. Kwa kati ya hao umesikia Bakhresa, Mo Dewji, au hata wamiliki wa biashara za mashule na hotels wanalalamika kuzuiliwa pesa zao bank. Hao wanaolalamika ni wapumbavu kwenye industry business na ni watakatishaji wa pesa haramu, Hakika huwezi kuwa Mfanyabiashara mzuri katika nchi yako na mlipaji wa kodi kwa wakati halafu ukasumbuliwa na mambo kama hayo, Mara nyingi huwa serikali yako itakulinda kwa hali yeyote ile kwani tayari umeshakua ni faida kwao. Achana na wapumbavu wachache wasikufanye ukapoteza ufikiri wako kwa upuuzi wao..
 
Ni ujinga tu wa tz umewajaa kuanzia wa ngazi ya chini Hadi ya juu.

Tax system ni mbovu na Ina mianya mingi, Sheria nyingi ni mbovu, watu wanatamaa na uchu tu wa kupora Mali za watu.
Kama una pesa mingi fanya kama wafanyavyo wahindi na wachina nenda kawekeze nje ya nchi kule Kunako usalama.
 
Ni ujinga tu wa tz umewajaa kuanzia wa ngazi ya chini Hadi ya juu.
Tax system ni mbovu na Ina mianya mingi,,Sheria nyingi ni mbovu,,watu wanatamaa na uchu tu wa kupora Mali za watu.
Kama una pesa mingi fanya kama wafanyavyo wahindi na wachina nenda kawekeze nje ya nchi kule Kunako usalama.
Mbaya sana
 
Back
Top Bottom