Nimegundua Mwanamke wangu anajiuza

Nimegundua Mwanamke wangu anajiuza

Taarifa yako mbona kama una ukakasi. Tinder haileti users wote wa nchi nzima, inaleta eneo ulilopo.

Sasa wewe kusema tu tinder imeleta majina ya demu wako yuko Uk huo ni uongo wa wazi kabisa mkuu.
Mkuu inaonekana unaifahamu tinder vizuri sana, hongera
 
Anauzaje kitumbua ulaya wakati upo nae Tz mkuu au anairusha Kwa Bluetooth?Nifafanulie Maana shule nlikuwa a bit slow.
 
Utafeel free mie kipindi na wachumba 3 nikichitiwa na mmoja nawauliza wengine babe upo free akisema yes naenda na wine yeye kaanda chakula naoga nampa malavi davi mpaka kesho yake mchana ijioni narudi kwetu kichwa ina relax.nasahau sime how pombe na huo muda nimepewa changu, Ila for now natafuta forever babe so kujichanganya na watu ni karaha tu. Ila wewe ushatendwA jichanganye na second wife. Au lala usingizi ukiwa tungi nayo ni raha sana
Hii id inafanana sana na manzi wangu.
Kila mara nikiiona moyo unashtuka halafu unakaa sawa. But I think she's not the one.
 
Back
Top Bottom