The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 38,081
- 117,691
.
Utafeel free mie kipindi na wachumba 3 nikichitiwa na mmoja nawauliza wengine babe upo free akisema yes naenda na wine yeye kaanda chakula naoga nampa malavi davi mpaka kesho yake mchana ijioni narudi kwetu kichwa ina relax.nasahau sime how pombe na huo muda nimepewa changu, Ila for now natafuta forever babe so kujichanganya na watu ni karaha tu. Ila wewe ushatendwA jichanganye na second wife. Au lala usingizi ukiwa tungi nayo ni raha sanaWhat will happen nkifanya hivi?
Na yeye anasafisha k tu ili akija iwe Kama culvert.Mi nlkuwa nasafisha macho tu
Niliwasha vpn ya UK.Taarifa yako mbona kama una ukakasi. Tinder haileti users wote wa nchi nzima, inaleta eneo ulilopo.
Sasa wewe kusema tu tinder imeleta majina ya demu wako yuko Uk huo ni uongo wa wazi kabisa mkuu.
Umeniwahimnunue.
Aaagh hio sio fair. Wa kusafisha K yake ni Mimi tuNa yeye anasafisha k tu ili akija iwe Kama culvert.
Wataalamu,
Acheni tu, leo mjukuu wenu Niko oves sana.
Nimegundua Dem wangu kumbe anafanya kazi ya kujiuza huko Ulaya...
Weeeewe, siku hizi watu tumekuwa wajanja. Hiyo ilifanyaga kazi miaka hiyo ya 2000Ili ujue kama upo na mwanamke mrahisi au niaje, mpe rafiki namba yake mwambie ajaribu kuwasiliana nae kwa namna yoyote ile, amtongoze. Utaona maajabu ya dunia.
Usibishe Hannah, hizo mbinu hadi leo zinafanyiwa kazi na matokeo yanaonekana. Nina rafiki alifanya hivyo na alichobaini kitakushangaza, hadi mdada aliridhia kuliwa nyuma, believe me not.Weeeewe, siku hizi watu tumekuwa wajanja. Hiyo ilifanyaga kazi miaka hiyo ya 2000
Subiri BICHWA KOMWE - alete ufafanuzi mujarabuWataalamu,
Acheni tu, leo mjukuu wenu Niko oves sana.
Nimegundua Dem wangu kumbe anafanya kazi ya kujiuza huko Ulaya.
Kilichonifanya nigundue ni kama bahati tu. nimewasha vpn ikasoma UK halafu nikaingia mtandao wa tinder.
Ukawa unaniletea options za UK, kuja kuhamaki namuona Dem wangu nilyekuwa na mpango wa kumuoa yupo tinder.
Nimeumia sana wakuu, kichwa imewaka moto. Hapa moja haikai mbili haikai, siku imeharibika hata sielewi nifanyeje.
Hapa Ninaenda kwa mangi kuagiza kreti Zima. Kabla akili hazijawa sio Zangu na sijafanya maamuzi magumu, naombeni mnishauri nifanye nini wakuu.
[emoji16][emoji16][emoji16]Acha kutafuta kiki jamaa angu, kila tukio lako,
Umeona uzi wa malaya unatrend unajiweka na wewe
Wanawake siku hizi ni wajasiriamali, kuwa mpole tafuta mwengine maisha yaendeleeWataalamu,
Acheni tu, leo mjukuu wenu Niko oves sana.
Nimegundua Dem wangu kumbe anafanya kazi ya kujiuza huko Ulaya.
Kilichonifanya nigundue ni kama bahati tu. Nimewasha VPN ikasoma UK halafu nikaingia mtandao wa tinder.
Ukawa unaniletea options za UK, kuja kuhamaki namuona Dem wangu niliyekuwa na mpango wa kumuoa yupo tinder.
Nimeumia sana wakuu, kichwa imewaka moto. Hapa moja haikai mbili haikai, siku imeharibika hata sielewi nifanyeje.
Hapa Ninaenda kwa mangi kuagiza kreti Zima. Kabla akili hazijawa sio Zangu na sijafanya maamuzi magumu, naombeni mnishauri nifanye nini wakuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ye muuzaji we mnunuzi
oke oke
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23]Huko Tinder ulienda kutafuta hoho au nyanya?