Nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Release ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus

Mkuu wala usiwaze,unapaswa kukosoa pale unapoona hapako sawa.

Lakini makosa haya yapo kabla ya zuhura, nadhani ni kama hakuna anayejali. Wakati wa jaffari haniu ndio makosa yalikua mengi hadi basi, majina ya wateuliwa yanarudiwa rudiwa mara mbili, baadhi ya sehemu zinasahaulika n.k
Maneno "jaffari haniu" yalipaswa yaanze kwa herufi kubwa
 
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.

Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.

Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.

Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".

Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".

Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").

Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).

Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?

Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.

Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.

Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.

View attachment 2281127
Nawe koma zimekaa sehemu zisizostahili, nikianza kukusahihisha tutakesha, ukweli ni kuwa uandishi wetu ni wa mazoea kwani hao wanaotufindisha wanahitaji kufundishwa.
 
Makosa ni mengi tu kiukweli.

Hata uandishi wa tarahe haujakaa sawa,pia neno Ikulu mwisho wa habari lilipaswa liwekewe nukta lakini hajafanya hivyo!!


Alama za uandishi hazijazingatiwa kabisa. Kuna haja kubwa sana kufanyiwa kazi haya makosa madogo. Kuandika tarehe "4Julai,2022"aise HAPANA!!
Huyu alikuwa mtangazaji, siyo mwandishi jamani.
 
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.

Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.

Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.

Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".

Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".

Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").

Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).

Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?

Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.

Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.

Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.

View attachment 2281127
Naunga mkono hoja! Dada kaandika li press release la hovyo kabisa! Utafikri limeandikwa na kanjanja! Hivi hii sentensi "Ndugu Plasduce Mkeli Mbossa anachukua nafasi ya ndugu Eric Khamis" ndiyo inatakiwa kuwa hivyo kweli? Kwa nini asingeandika "Wakati huo huo Mh. Rais amemteua ndugu......... kuwa mkurugenzi mkuu wa Bandari? Na ile sentensi ya uteuzi huo unaanza tarehe........ kwa nini isingekuwa kwenye para moja na huo uteuzi? Nikiri tu kwamba press release za Jaffar Haniu na Msigwa zilikuwa nzuri kuliko za huyu mdada!
 
Mleta hoja hapa hata wewe bandiko lako la masahihisho kwa Zuhura Yunus lina makosa mengi sana. Ulitakiwa "kuliediti" kabla hujaruhusu au hujaliachia liende hewani.
Usimlinganishe mleta hoja na mtu aliyesomea hicho kitu! Huyu mdada ni mbobezi kwenye Tasnia ya habari kwa hiyo anatakiwa awe deep kuliko Salary Slip!
 
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika press realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.

Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.

Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.

Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".

Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".

Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").

Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: 2022, ametengua ......).

Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?

Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.

Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.

Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.

View attachment 2281127
Mkuu tukiamua kufuata hizo tahajia hakuna Mtanzania anayeongea Kiswahili sanifu
 
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.

Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.

Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.

Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".

Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".

Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").

Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: "..... leo 04, July 2022, ametengua ......).

Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?

Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.

Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.

Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.

NB: Tatizo kubwa hapa si typing error, kosa ambalo wengi hulifanya/tunalifanya, bali tatizo linaoonekana ni Mhusika kuwa na udhaifu kwenye matumizi ya "comma" kwenye uandidshi na ndio maana kasoro husika imejirudia zaidi ya mara tatu kitu ambacho sio kizuri kwa mtu kama yeye ukizingatia wadhifa alionao.

View attachment 2281127
Upo sahihi 100%
 
Siyo kila kitu anaandika yeye Zuhura, Ikulu ni taasisi kubwa wapo makatibu muhtasi.

Zuhura anatoa majina na instructions tu, hao ma secretary I hope nao wako bize na jf ndo wanalipua then Zuhura signed, hawezi kuangalia one by one.

Nashangaa wanatuacha waandishi mahsusi tuna chakalia huku mtaani 🤣🤣
 
Harafu muundo wa wa sentensi na tungo zake zinamfumo wa Kiingeleza sio kiswahili.

1656998507551.png


Sentensi kama hii ni kama vile huyu Mbossa hajateuliwa ila amechukua tu basi.

Vingine tumebaki kuelewa kwa sasabu ya mazoea.
 
Makosa ni mengi tu kiukweli.

Hata uandishi wa tarahe haujakaa sawa,pia neno Ikulu mwisho wa habari lilipaswa liwekewe nukta lakini hajafanya hivyo!!


Alama za uandishi hazijazingatiwa kabisa. Kuna haja kubwa sana kufanyiwa kazi haya makosa madogo. Kuandika tarehe "4Julai,2022"aise HAPANA!!

Tarehe kaiandika kwa usahihi kabisa.
 
Naunga mkono hoja! Dada kaandika li press release la hovyo kabisa! Utafikri limeandikwa na kanjanja! Hivi hii sentensi "Ndugu Plasduce Mkeli Mbossa anachukua nafasi ya ndugu Eric Khamis" ndiyo inatakiwa kuwa hivyo kweli? Kwa nini asingeandika "Wakati huo huo Mh. Rais amemteua ndugu......... kuwa mkurugenzi mkuu wa Bandari? Na ile sentensi ya uteuzi huo unaanza tarehe........ kwa nini isingekuwa kwenye para moja na huo uteuzi? Nikiri tu kwamba press release za Jaffar Haniu na Msigwa zilikuwa nzuri kuliko za huyu mdada!
Ameandika kama anatangaza mpira
 
Harafu muundo wa wa sentensi na tungo zake zinamfumo wa Kiingeleza sio kiswahili.

View attachment 2281463

Sentensi kama hii ni kama vile huyu Mbossa hajateuliwa ila amechukua tu basi.

Vingine tumebaki kuelewa kwa sasabu ya mazoea.

Huo unaouona utata kwenye hiyo sentensi moja unajibiwa ukisoma andiko lote.

Nadhani ni makosa kuchota sentensi moja na kuitolea maana, hili andiko linaarifu kwa kusimulia ktk namna fulani. Hivyo kuipata maana kusudiwa (kwenye suala hili ni aidha Mbossa kachukua nafasi au kateuliwa) ni muhimu kurejea kichwa cha habari au kuendelea kusoma andiko.
 
Back
Top Bottom