Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,380
Japo mimi sio mtaalama wa maswla ya uandishi na wala si mwandishi wa habari, ila nimegundua makosa madogo ya kiuandishi katika Press Realease ya leo iliyotolewa na Madam Zuhura Yunus aliefanya kazi kwenye chombo kikubwa cha habari kama BBC.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: "..... leo 04, July 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
NB: Tatizo kubwa hapa si typing error, kosa ambalo wengi hulifanya/tunalifanya, bali tatizo linaoonekana ni Mhusika kuwa na udhaifu kwenye matumizi ya "comma" kwenye uandidshi na ndio maana kasoro husika imejirudia zaidi ya mara tatu kitu ambacho sio kizuri kwa mtu kama yeye ukizingatia wadhifa alionao.
Kwa uelewa wangu mdogo, Dada yangu Zuhura anakosea katika matumizi ya comma, ila kutokana na unyeti wa nafasi yake, makosa haya yasipuuzwe unless mimi ndio niko wrong.
Kwa mfano, neno TPA liloko katika mabano, lilipaswa kufuatiwa na comma kabla ya kutaja jina la Ndugu Eric Hamisi ambae uteuzi wake umetenguliewa.
Kasoro nyingine naiona katika hii sentesi: "kabla ya uteuzi huo".
Kwa uelewa wangu mdogo, mwisho wa sentesi hiyo fupi, kulistahili kuwa na comma kabla ya kuendelea na sentesi iliyofiuayta inayoanza na "Ndugu".
Ukiacha kasoro hizo mbili, hata hii sentesi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa" , iliostahili kufuatiwa na comma kabla ya kuendelea na maneno yanayofuayta (yaani ingeandikwa hivi: "Ndugu Plascude Mkeli Mbossa, ......").
Hata katika aya ya kwanza, sentesi: "...... leo 04, July 2022 ......" comma ilipaswa kufuata baada ya 2022 na kisha ndio angeendelee na maneno yaliyofuata(yaanii ingekuwa hivi: "..... leo 04, July 2022, ametengua ......).
Kama nimekosea mnisahihishe, ila kama niko sahihi kama navyoamini, wataalamu wa uandishi watakuwa wanaona makosa mangapi na ukizingatia hii ni document kutoka ofisi kubwa kabisa kwa nchi yetu?
Kwakweli kama ni kupitiwa au alisahau kufanya editing, basi walau kasoro hiyo ingejitokeza mara moja au mbili, ila hapa imejitokeza mara tatu na si ajabu kuna makosa mengine yanayoweza kuainishwa na wataalamu wa uandishi.
Ukosoaji huu ni kwa nia njema kwani document kama hii inasomwa na watu wengi wa ndani na nje ya nchi.
Sisi wengine hata tukichapia sawa tu, ila sio Zuhura kwa nafasi aliyonayo, na pia kwa fani aliyonayo ya uandishi wa habari.
NB: Tatizo kubwa hapa si typing error, kosa ambalo wengi hulifanya/tunalifanya, bali tatizo linaoonekana ni Mhusika kuwa na udhaifu kwenye matumizi ya "comma" kwenye uandidshi na ndio maana kasoro husika imejirudia zaidi ya mara tatu kitu ambacho sio kizuri kwa mtu kama yeye ukizingatia wadhifa alionao.