The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,613
Ha ha ha ...Mimi nikiwa home nasomaga kama guest...Afu ananambia nimsimulie akiona nacheka...Angejua na mimi huwa nachangia...Nachojua for sure hawezi na hataweza kuwa member JF...Hana hiyo hobby (na kazi yake haimpi huo uhuru)
Usiusemee moyo....
mimi nilikua hospitali moja hivi ni very busy
foleni nje nimeacha kama watu 20 kumuona dokta kumbe dokta yupo JF ame log in
yaani na ubize wote ule anachangia JF kama kawa