...muulize kama anajua kuPM mtu?
aaaaah mke wako kumbe ni yule mwalimuuuu...tunasali naye aiss!Ameenda church,jmosi huwa hawashi cm yake mpaka sabato iishe.
hili swali la msingi sana maana mambo yote yanaanzia huko huko PM!
aaaaah mke wako kumbe ni yule mwalimuuuu...tunasali naye aiss!
Bora wewe unagundua kwa style hiyo. Mwenzako nilikuwa na kadili ka bodaboda ka kunipa senti za kilimanjaro ila wife alikuwa hajui sasa kuna siku dereva kaleta hela home mie sikuwepo kamkabidhi wife akaulizwa maswali naye kabwabwaja kila kitu pale, mie narudi jioni nawekwa kitimoto pale wife ananiambia nimeanza kufuata ushauri wa jf wa kumficha yeye baadhi ya mambo yanayohusu pesa akanipiga mkwara mzito na yeye ataanza kufuata ushauri wa lara1 hapo nikajua nayeye ni mdau wa jukwaa hili ila ID siijui..
Ameenda church,jmosi huwa hawashi cm yake mpaka sabato iishe.
Bora wewe unagundua kwa style hiyo. Mwenzako nilikuwa na kadili ka bodaboda ka kunipa senti za kilimanjaro ila wife alikuwa hajui sasa kuna siku dereva kaleta hela home mie sikuwepo kamkabidhi wife akaulizwa maswali naye kabwabwaja kila kitu pale, mie narudi jioni nawekwa kitimoto pale wife ananiambia nimeanza kufuata ushauri wa jf wa kumficha yeye baadhi ya mambo yanayohusu pesa akanipiga mkwara mzito na yeye ataanza kufuata ushauri wa lara1 hapo nikajua nayeye ni mdau wa jukwaa hili ila ID siijui..
utapogundua mkeo yupo Badoo uje tena hapa
Angekuwa mwandani wangu kitendo cha kutaja tu hilo jina angepewa fasta transfer ya kuhamia guest-room!!!!!
Kabla ya Sabato kwisha utaiondoa hii mada.
kwani ye anajua ID yako??
utapogundua mkeo yupo Badoo uje tena hapa