Sasa hujui I.d yake umejuaje yupo huku au umehisi?
Mke wangu yupo jf anaifaham ID yangu pamoja na password kabisa. Ila nikitaka kuingia dark natumia ID ya pili ambayo haijui na hata kaa aijue.
Mbona nimejaa tele mie huwa nakusale tuHa ha ha ...Mimi nikiwa home nasomaga kama guest...Afu ananambia nimsimulie akiona nacheka...Angejua na mimi huwa nachangia...Nachojua for sure hawezi na hataweza kuwa member JF...Hana hiyo hobby (na kazi yake haimpi huo uhuru)
Bora wewe unagundua kwa style hiyo. Mwenzako nilikuwa na kadili ka bodaboda ka kunipa senti za kilimanjaro ila wife alikuwa hajui sasa kuna siku dereva kaleta hela home mie sikuwepo kamkabidhi wife akaulizwa maswali naye kabwabwaja kila kitu pale,
Mie narudi jioni nawekwa kitimoto pale wife ananiambia nimeanza kufuata ushauri wa jf wa kumficha yeye baadhi ya mambo yanayohusu pesa akanipiga mkwara mzito na yeye ataanza kufuata ushauri wa lara1 hapo nikajua nayeye ni mdau wa jukwaa hili ila ID siijui..
Wajameni leo nimegundua my wife yuko humu Jamii Forums tena anapenda hiki kitengo cha MMU. Sasa nitakosa uhuru wa kuchangia.
Sijajua how long yuko humu but nimeshtuka sana,najaribu kujua ID anayotumia na kila nikimuuliza anacheka tu, hii balaa inabidi niwe mpole.
Sio hawa,angekua lara1 ningekua nimeishamkata miguu siku nyingi.
Kitendo cha kuonesha interest keshajua umo. Na believe me, atajua ID yako kabla we hujajua yake. Labda km ww ni mchepukaji
Na kwa nini ufanye hivyo??
Wee...!!Sioni sababu ya kufichana ID ,wala sioni sababu ya uhuru kupungua!jimwage jiachie na wala usiogope!vya JF ni JF labda umepata wazo ambalo ni zuri waweza kazi!lifanyia !Labda kama una agenda ya ziada ya kutafuta wa kutaruchana nae
Sio hawa,angekua lara1 ningekua nimeishamkata miguu siku nyingi.
Hahahahahahahahahh!why?
I cant allow any woman of mine to have anything to do with that Bitch lara 1
anatafuta nini jf? na muulize kama anajua kuPM mtu?