Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Najua fika uko humu so usifanye mchezo😀
Haijui na sijui kama anafahamu niko humu.
Atakuwa Lara1 huyo,..kama siyo bac miss chaga,..au miss nedy kwa mbaali.Niombe radhi kwa niliowataja najaribu kuwapa hadhi ya juu hapa JF.
Najua fika uko humu so usifanye mchezo😀
Kitendo cha kuonesha interest keshajua umo. Na believe me, atajua ID yako kabla we hujajua yake. Labda km ww ni mchepukaji
Hivi mtu yuko job voda anashindwa kujua pm!!atakua anajua ila mpaka kesho nita mpm mwenyewe.
Bora wewe unagundua kwa style hiyo. Mwenzako nilikuwa na kadili ka bodaboda ka kunipa senti za kilimanjaro ila wife alikuwa hajui sasa kuna siku dereva kaleta hela home mie sikuwepo kamkabidhi wife akaulizwa maswali naye kabwabwaja kila kitu pale,
Mie narudi jioni nawekwa kitimoto pale wife ananiambia nimeanza kufuata ushauri wa jf wa kumficha yeye baadhi ya mambo yanayohusu pesa akanipiga mkwara mzito na yeye ataanza kufuata ushauri wa lara1 hapo nikajua nayeye ni mdau wa jukwaa hili ila ID siijui..